Bora uchelewe kuoa

Mtoto anaweza kutoka kwenye familia mbovu na baadae akawa mtu bora , hivyo hivi vitu havina formula
ni nadra sana always mtt wa nyoka ni nyoka
yan binti kakua na mamake single mother kaachika mpaka kakata tamaa kila siku anajisifu anaeza kuishi bila mwanaume na wala haitaji mwanaume hv huyu binti atakua na hofu ya kuachwa kweli???hao ndo wale ukimwaga mboga yy anamwaga ugali yan kabla hujamwambia sitaki nikune tena ashapaki mabeg kitambo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Usitakew kulazimisha vitu kwa mifano isiyo na mantiki, hauzi kumuingiza Geto msichana wa watu ukae nae weee bila ya kumuoa hilo halikubaliki kwa dini zote Hata kama mmekaa kwa amani miaka mingi. Kama anakufaa katekeleze wajibu.
 
Usitakew kulazimisha vitu kwa mifano isiyo na mantiki, hauzi kumuingiza Geto msichana wa watu ukae nae weee bila ya kumuoa hilo halikubaliki kwa dini zote Hata kama mmekaa kwa amani miaka mingi. Kama anakufaa katekeleze wajibu.
Nawezaje kulazimisha kitu kwenye internet?

Kwa nini unafikiri kila mtu anafuata dini?

Dini ni nini?

Hao unaowakatalia kufanya hilo unajua dini zao zinasemaje kuhusu hilo?

Unazijua dini ngapi za dunia hii na dini zilizopo ni ngapi?

Dini ikikuambia ufanye kitu ambacho akili yako inaona si sawa, kama kumuua mama yako, utakubali?

Unaandika huwezi kumuingiza geto msichana wa watu ukae nae wee bila ya kumuoa wakati Profesa Jay ndicho alichofanya hicho, na watu kibao wamefanya, sasa unapoandika "huwezi" wakati watu washafanya unaelewa maana ya neno "huwezi"?
 
chelewa mkuu nguvu ziishe,uoe wakati nguvu zishakuwa kiduchu uone vijana wanavyoserereka na mkeo
 
Uktaka ndoa yako. Idumu lazim mmoja awe mjinga in maneno ya bib aliyowah kuniambia
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…