Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Pre GE2025 Bora Uenyekiti wa Mbowe, Lissu bado hajajua watanzania wanataka nini. Mpango wake wa kustopisha Uchaguzi unaenda kuangukia pua!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..nadhani tuilaumu CCM ambayo inakwamisha mabadiliko.

..haiwezekani CCM iendelee kupiga na kuua watu wakati wa uchaguzi wakati uwezo wa kushinda kihalali wanao.

..sasa hivi CCM wanapokea 3.2 BILLION kila mwezi kama ruzuku.

..wafanyabiashara, wasanii, viongozi wa dini, vyombo vya habari, mahakama, polisi, wote wanaunga mkono CCM, lakini bado wanataka kutumia mabavu.

..Tuwahimize CCM waunde Tume Huru, na uchaguzi ufanyike bila kumwaga damu ya Mtanganyika, au Mzanzibari.
Mkuu umeandika vizuri , pamoja yote aya bado hawajiamini , daily watu wanaachiwa uvilema kisa chaguzi, kama hawataki uchaguzi bora wa namna ya kurekebisha namna ya kuendesha chaguzi zetu kwa haki na uhuru wafute vyama vya upinzani basi
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Lisu ni tapeli la kisiasa
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Siku wajinga wajinga kama wewe, wakifa,nchi itaendelea, hv unaelewe ccm wanaipeleka wapi hii nchi?
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
🇹🇿 Sio Burundi kwamba tunayumbishwa na taasisi za Mabeberu.

Kwa taarifa yenu tuu Huwa tunakopa na sio kupewa Msaada.

Mwisho hata Paige kelele na atembee uchi Dunia nzima hakuna kitakachobadilika.
 
Hatutegemei sana Watanzania, ila Dunia itazuia,
Ona hii takataka.Nikikwambia weka takwimu za misaada ya hao Mabeberu mnaptegemea Kwa Tanzania unaweza weka?

Kama hujui manake wewe na huyo kibaraka ni majinga msiojitambua.
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Hamkumshauri vizuri Mbowe!! Aibu aliyoivuna haiwezi kupozwa na hizi drama uchwara
 
Mimi nilikuwa ni pro Lissu alipokuwa anapambana na FAM

Lakini kusema ukweli so far sijaona kipya.

Juzi nilikuwa namsikiliza akizungumzia njia atakazotumia kustopisha Uchaguzi. Lissu bado anaamini kwenye MAANDAMANO na CIVIL DISOBIDIENCE, vitu ambavyo wabongo hawako tayari kufanya kwa sasa kwa sababu bado CCM hawajawabana kisawa sawa watanzania

Watanzania hawako tayari kuandamana kisa tume huru au sijui Katiba Mpya. The timing is just not right. Sisi sio Wakenya

Soma pia: Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Akiwa Ikungi Jumamosi Lissu alitoa mfano akisema kuwa Wana Ikungi wakiamua kulala barabarani basi wanaweza kuwatisha CCM kusitisha Uchaguzi.


Kwa wananchi gani? Hawa hawa wanaoona Deo Bonge anatekwa mchana kweupe alafu wanaangalia tu?

Wananchi hawa hawa ambao Ali Kibao alitolewa kwenye basi mchana kweupe na walishindwa hata kurekodi video? Hawa ndo unawaambia wakaandamane na kulala barabarani?

Lissu anahisi yupo Kenya. Hii sio Kenya. CCM wanajua Watanzania HAWAWEZI kuandamana ndo maana hata hawaangaiki nae.

Lissu ana options 2 ili kusitisha Uchaguzi

1. Atumie The Mbowe approach ya kurudi kwenye meza ya maridhiano na CCM

2. Apige kelele sana huko Umoja Wa Mataifa, aende CNN akafanye interviews aongee na IMF na World Bank waidhibiti misaada na mikopo Bongo mpaka sheria zitakaporekebishwa

Kutegemea wabongo waache kwenda makazini waende kulala barabarani ni approach ya kizamani sana and no it wont work.

Lissu ajitafakari!
Kosa lako kubwa ni kuwa pro-Lissu.
Kwani wewe huna msimamo wako?
Kodi zetu zinapotezwa kwa kuweka mazingaombwe ya Uchaguzi wakati Kura zetu HAZIHESHIMIKI.
Tufuke mahali tujitambue.
KURA ZETU ZIHESABIWE KWA UWAZI NA ZIHESHIMIKE.
Baada ya hapo, Mshindi akiwa CCM au CHADEMA au ACT, itakuwa ndiyo KAULI ya Watanzania.
Kilichofanyika kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni AIBU kwa Nchi yetu.
 
Kweli kabisa, yeye anadhani Tanzania ni darasa la first year la sheria, huku mtaani watu wanaishi maisha halisi yasiyozingatia technicalties
 
Mimi Sina maneno mengi nawaachieni ulingo

Are you ready!!!
 
Wewe wasemaje kwanza tuanze nawewe..tafafhari chukua mic
 
Back
Top Bottom