Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Duhhh!!! Sikutegemea huu ufafanuzi. B👍
 
Akili yangu funguka kuanzia sasa hiv ,pesa yangu wataiskia kudadek
 
Kwamba, hii ni ID nyingine ya Insiderman...
 
Mi nilishashtuka kitambo sana, tena hawa wa nitumie ndo hata buku huwa situmi!
Wanawake wanafikiri wana haki ya kupewa hela za bure kwa sababu tu wao ni wanawake.

Sasa waulize, hela sio tatizo lakini je mimi nitapata valuable output ipi in return ya iyo hela unayotaka nikupe? Hawana jibu la maana.

It makes no sense mtu kujipa haki ya kunufaika na hela ambayo hajashiriki kuitafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…