Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini

Wanawake wengi.sana wametoboa huku wanaojiita Gentlemen wameishia stress na kulewa pombe tu
Ikifika wikiend mwanamke anatype sms ya kuomba elfu 20 anaituma kwa wanaume 10, akitumiwa hela na wanaume watano tu tayari ana laki moja.

Kijana simp anamtumia uyo demu elfu 20 na yeye anashindia mihogo na energy drink siku nzima wakati demu aliemtumia hela jioni yupo kitambaa cheupe kachafua meza na chupa nyingi sana heinken
 
Ikifika wikiend mwanamke anatype sms ya kuomba elfu 20 anaituma kwa wanaume 10, akitumiwa hela na wanaume watano tu tayari ana laki moja.

Kijana simp anamtumia uyo demu elfu 20 na yeye anashindia mihogo na energy drink siku nzima wakati demu aliemtumia hela jioni yupo kitambaa cheupe kachafua meza na chupa nyingi sana heinken
Correct....hii wanaume wakiigundua watainuka sana kiuchumi.
 
You have identified a key issue that is prevalent among young people: a lack of understanding of the truth. Many individuals in this age group tend to prioritize impressing others, particularly women, over their own self-reflection. This often leads to regret and a return to a state of immaturity.
 
You have identified a key issue that is prevalent among young people: a lack of understanding of the truth. Many individuals in this age group tend to prioritize impressing others, particularly women, over their own self-reflection. This often leads to regret and a return to a state of immaturity.
Wanawake wana mitego sana inahitaji mwanaume mwenye akili kweli kweli.
 
You have identified a key issue that is prevalent among young people: a lack of understanding of the truth. Many individuals in this age group tend to prioritize impressing others, particularly women, over their own self-reflection. This often leads to regret and a return to a state of immaturity.
It's all about brotherhood. Teach them early what you learn late.
 
Naam leo angalau umewashauri vizuri mwanaume kufanikiwa is directly proportional to kuacha umalaya, waambie kabisa kwamba lazima wachague kimoja na wasacrifice kimoja hawawezi kupata vyote yani uwe malaya halafu uendelee kufanikiwa hiyo ni kanuni ya wapi, siku wanaume wakiacha kuichukulia ngono kama basic need na kuacha kuisingizia nature basi watakuwa wamepiga hatua kubwa sana katika kuyaelekea mafanikio yao na hata wanawake nao watabadilika
 
Naam leo angalau umewashauri vizuri mwanaume kufanikiwa is directly proportional to kuacha umalaya, waambie kabisa kwamba lazima wachague kimoja na wasacrifice kimoja hawawezi kupata vyote yani uwe malaya halafu uendelee kufanikiwa hiyo ni kanuni ya wapi, siku wanaume wakiacha kuichukulia ngono kama basic need na kuacha kuisingizia nature basi watakuwa wamepiga hatua kubwa sana katika kuyaelekea mafanikio yao na hata wanawake nao watabadilika
Umetoka nje ya mada. Mwanaume hata asipokua malaya bado anaweza kuangukia mikononi na mwanamke chuma ulete.

Vile vile mwanaume anaweza kuwa malaya na akafanikiwa kufanya vetting katika kuchagua wanawake wa ku-date nao kwa kuangalia kigezo cha mwanamke anaejimudu kiuchumi, hii itamuwesha kutoingia gharama za ku-maintain mahusiano

Katika dunia ya sasa almost wanawake wote mapenzi kwao ni biashara. Wanachotofautiana ni mbinu tu.

Kuna ambao wanafanya biashara direct(mtandaoni, kumbi za starehe, kujipanga barabarani n.k) na kuna wanaofanya biashara indirect(kwa kujificha kwenye kichaka cha kuhudumiwa au kuwa masponsor wengi)

Kwa mwanaume bila kujali mwanamke yupi ambae utakutana nae maishani mwako, unawajibika kujipa kipaumbele wewe mwenyewe.
 
Sina uhakika doktori,kwani wa seminary wanakwama sana😂😂

Yan hivi vibinti vya elfu mbili ambavyo unakutana navyo barabarani na ndinga ujue wazee wengi wanaumia sana
mara nyingi nawaona wanachemkaga sana

hawa mabinti kanaweza kukudokeza vituko vyake ukakasikiliza ukabaki kukapa hisani tuh mana vinajituma kwa kweli ukifanya mchezo unaweza kumsahau mama nyumbani
 
Back
Top Bottom