Kama natakiwa kuchagua mi kwa furaha nachukua VVU. KISUKARI na UKIMWI yote ni magonjwa sugu yanayohitaji muathirika kunywa dawa for LIFE!, lakini KISUKARI ni complicated zaidi ya ukimwi. KISUKARI hata kama utafuata masharti vizuri lakini comlications lazima zikukute, km vile UPOFU, KUPOTEZA VIUNGO hasa miguu, KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME, SHINIKIZO LA DAMU, KUHARIBIKA MISHIPA YA FAHAMU, KIHARUSI, KUHARIBIKA FIGO (leading cause of Renal failure), n.k, n.k, kwa ujumla quality ya life inakuwa severly compromised kuliko anayekula ARV, dawa za ARV zimezidi kuboreshwa... idadi ya vidonge inazidi kupungua, huduma ni bure, vituo vya tiba na wataalamu wako kila hospitali, lkn tiba ya kisukari ni duni na aghali sana.