...Mziwanda umeleta hoja nzuri tu ambayo tunajifunza mengi toka kwa wachangiaji. Mchango wangu ni kama ifuatavyo; UKIMWI kwa maana ya UPUNGUFU WA KINGA MWILINI humlazimisha mgomnjwa kufuata masharti yafuatayo
1. Kuzingatia masharti ya unywaji wa dawa (adherence). Kwasa dawa zilizopo atakunywa asubuhi na jioni. Idadi ya vidonge itategemea yuko kwenye regimen ipi, mara nyingi ni 1x 2 au the current regimen ya AZT/3TC/EFV atameza 2x2. Bahati nzuri tayari hapa nchini ipo dawa ya ATRIPLA inapatikana kliniki ambapo mgonjwa humeza kidonge kimoja tu i.e 1x1
2. matumizi ya ARV ni lifelong
3. Pia mgonjwa atalazimika kunywa dawa kuzuia/au kutibu magonjwa nyemelezi.(when neccessary)
4. Atalazimika kuhudhuria klinic kwa ajili ya follow up care na refill ya dawa monthly.
5. Atashauriwa kula lishe bora na kujiepusha na vyakula/vinywaji vinavyodhoofisha afya yake (ulevi wa pombe,sigara nk)
6. Afanye mazoezi kuimarisha afya yake.
7. Ajikinge dhidi ya maambukizi mapya kwa kufanya ngono salama (condom)
Hayo ndio mambo ambayo BASICALLY anapaswa kuyafanya (yanaweza kuwepo mengine)
Kumekuwepo na upotoshaji unaotokana na kukosa taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Kisukari. Wengi wakiuhusisha na masharti mengi na side effects kibao! Dhana ya kizamani kuwa mgonjwa wa kisukari asile mlolongo wa vyakula imepitwa na wakati. Tiba ya kisasa inshauriwa mgonjwa wa kisukari kula kiasi kidogo but with an increased frequency. hapa essesnce ni ku mentain normal level ya sukari through out the day. Hivyo swala la kumfanya mgonjwa wa kisukari asile vyakula mbalimbali halipo! Kisuari huonekanabalaa pale kinapokuwa uncontrolled, ambapo mtu huanza kupata madhara kwenye mishipa ya damu na kuleta Impontence, impaired eyesight, Renal problems, skin problems, fungal infections,etc
Kwa mleta hoja nafikiri pengine suala hili linaweza kuwa gumu ukilitizama kwa kuangalia hali ya kiuchumi, literacy level kati ya wagonjwa hawa wawili na jamii inayowazunguka
manake stigma around HIV it is a disease of its own!
Kwasababu kwa jamii kwenye nchi zilizoendelea HIV/AIDS is just as chronic as any oter crhonic disease like hypertension, Diabetic mellitus, etc Life expectancy and quality ya HIV patients has significantly gone up
asante