"Bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa" ni msemo wa kijinga kabisa. Unajua gharama za ujenzi wewe?

Mkuu ..hivi nyumba ya mil 30 ikoje? Maana mm navyojua nyumba ya maana ni aghalau mil 70-100
...maana kwa mjini kiwanja tu kizuri ni 15m mpaka 20m..
 
Mkuu ..hivi nyumba ya mil 30 ikoje? Maana mm navyojua nyumba ya maana ni aghalau mil 70-100
...maana kwa mjini kiwanja tu kizuri ni 15m mpaka 20m..
Zipo mkuu hasa mikoani,nyumba ya milioni 30 inaridhisha ,ujenzi kwa mikoani uko chini na hazina mbwembwe inaweza isiwe na plumbing sijui tiles au gypsum na bado ikaonekana nzuri
 
Tatizo kung'ang'ania maisha na mtu ambaye anaumiza moyo wako kila siku. Unakaaje na mtu ambaye anakuharibia maisha yako? Hata siku moja sitakubali ndoa iniharibie maisha yangu.
Bora kuachana
 
Na ukitangulia wewe na mama kama kuna wtt mshawakosesha haki zao.
Mke hata akikutoa ndani ya nyumba walau uhakika wa wtt wako kutokupata tabu upo
Nimewaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…