Mkuu ..hivi nyumba ya mil 30 ikoje? Maana mm navyojua nyumba ya maana ni aghalau mil 70-100Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.
Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine
Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida
Tusidanganyane
Ni kama mizani tu 😂😂Hakuna mke bora sikuhizi
Zipo mkuu hasa mikoani,nyumba ya milioni 30 inaridhisha ,ujenzi kwa mikoani uko chini na hazina mbwembwe inaweza isiwe na plumbing sijui tiles au gypsum na bado ikaonekana nzuriMkuu ..hivi nyumba ya mil 30 ikoje? Maana mm navyojua nyumba ya maana ni aghalau mil 70-100
...maana kwa mjini kiwanja tu kizuri ni 15m mpaka 20m..
kama anaweza kuwatunza awachukue kama hawezi awaacheNa watoto wa shule anakuachia au anaenda nao
duh! sasa kama ndo ivo kataa ndoa lazima waibuke washindi.Na mama yako akifa itabidi Mali ziingizwe kwenye mirathi ya mamayako Kisha mgawane na ndugu zako
Manyara kubwa.Manyara,huku kuna nyumba hadi za laki nane,slope,chumba sebule
chumba sebule laki nane labda tofari za tope, ama nyumba ya tope na kiwanja umepewa na bibi akoInategemea na aina ya nyumba,kuna nyumba za laki nane huko mikoani chumba na sebule,hatuongelei hizo bali nyumba ya kuanzia milioni 30
Magugu,Babati
Tatizo kung'ang'ania maisha na mtu ambaye anaumiza moyo wako kila siku. Unakaaje na mtu ambaye anakuharibia maisha yako? Hata siku moja sitakubali ndoa iniharibie maisha yangu.Subiri nakuombea ukosee kuoa kisha ulinganishe na huo upuuzi unapusema.
Ndipo utajua kwanini Elon Musk, Jeff Bezos tajiri namba moja na mbili waliacha wake nabhawataki kusikia habari za wake.
Hiyo kauli ina maana kubwa sana. Hata hako kajumba kako utatamani kukaboa au kutoingia humo.
Anyway, ukikua utajua
Hivi unaishije na mtu wa kukukosesha amani maishq yako yote? Ujinga huo sifanyi.Mke anaweza kukukosesha amani maisha Yako yote kua makini kijana
Huyu tayari huyuwazimu umekupanda bro
Na ukitangulia wewe na mama kama kuna wtt mshawakosesha haki zao.na me huo msemo niliuelewa hivyo huenda mwandishi ana akili nyingi kama tulivyoambiwa wanawake tuishi nao kwa akili. Mwandishi asibezwe hoja anayo.
kuna jamaa alisema ukiona mke wako mkorofi na una miliki mali za thamani hati zote za nyumba andika jina la mama yako mzazi wakija kuangalia wanakuta mume hana chochote kwahiyo huyo mke anakuwa amekosa alichokikusudia.