"Bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa" ni msemo wa kijinga kabisa. Unajua gharama za ujenzi wewe?

"Bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa" ni msemo wa kijinga kabisa. Unajua gharama za ujenzi wewe?

Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.

Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine

Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida

Tusidanganyane
U miss the point bro
 
Kwa mikoani hakuna mtu wa miaka 30 asiye na mke wala nyumba,nyie wa mjini ndio mnafia kwenye upangaji na kufa kibudu bila mke wala mtoto
Hivi ukakurupuka kuoa mwanamke mwenye tamaa ya mali alafu akawa anakufanyia vitimbwi makusudi ili kusudi umuache mgawane mali,au wengine hudiriki hata kuwauwa waume zao ili warithi mali,wahenga waliwaza mbali sana
Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.

Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine

Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida

Tusidanganyane
Hivi ukakurupuka kuoa mwanamke mwenye tamaa ya mali alafu akawa anakufanyia vitimbwi makusudi ili kusudi umuache mgawane mali,au wengine hudiriki hata kuwauwa waume zao ili warithi mali,wahenga waliwaza mbali sana.
 
Back
Top Bottom