U miss the point broNilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.
Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine
Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida
Tusidanganyane
Hivi unaishije na mtu wa kukukosesha amani maishq yako yote? Ujinga huo sifanyi.
Watu wako na limited mind sana, Maisha yako yaharibike kisa mwanamke? Haya ni maajabuHakuna kitu kisichorekebishika kati ya hivyo
Ukikosea kuoa unaacha
Ukikosea kujenga unabomoa....
Ni wewe tu kuamua
Inashangaza sana,coz mie mwenyewe siwezi haribu maisha yangu sababu ya mwanaume mkuuWatu wako na limited mind sana, Maisha yako yaharibike kisa mwanamke? Haya ni maajabu
Hivi ukakurupuka kuoa mwanamke mwenye tamaa ya mali alafu akawa anakufanyia vitimbwi makusudi ili kusudi umuache mgawane mali,au wengine hudiriki hata kuwauwa waume zao ili warithi mali,wahenga waliwaza mbali sanaKwa mikoani hakuna mtu wa miaka 30 asiye na mke wala nyumba,nyie wa mjini ndio mnafia kwenye upangaji na kufa kibudu bila mke wala mtoto
Hivi ukakurupuka kuoa mwanamke mwenye tamaa ya mali alafu akawa anakufanyia vitimbwi makusudi ili kusudi umuache mgawane mali,au wengine hudiriki hata kuwauwa waume zao ili warithi mali,wahenga waliwaza mbali sana.Nilitumia miaka zaidi ya 10 nyumba yangu kukamilka kabisa,gharama sitataja ila itoshe kusema nyumba yangu ni ya thamani kuliko wanawake wote niliowahi kuoa au kuwa nao kwenye mahusiano.
Leo hii ukibomoa hako kajumba kangu umenimaliza,kuja kuijenga tena sio rahisi,lakini huyu mke hata akiondoka leo mwezi mmoja navuta mwingine
Hapa naongelea nyumba za kuanzia milioni 30 sio hizo slope za Singida
Tusidanganyane