Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Apia.Mimi sijawahi kuwa kiben ten
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apia.Mimi sijawahi kuwa kiben ten
Acha tuuMwenzako Masanja kisha gongewa ki masihara
Lakini ndio hivyo tena, nyota yake imezimishwa na mabazaZiAcha tuu
Katibu angetuletea stori yake kwenye Jamvi letu la Kimasikhara.
Mke wa kisukuma?Dereva chunga mwendo wako, utakufa utuachie mkeo
Kazi na salaOra et la bora....[emoji1323]
Katibu alikuwa anapiga kazi tu, sala anamwachia Mama MchungajiOra et la bora....[emoji1323]
Poa tuuLakini ndio hivyo tena, nyota yake imezimishwa na mabazaZi
Ila mama atasababisha wengi warushe ndoana zao, hana u hiyo wa kihivyoooooooPoa tuu
Si wazee wa Kimasikhara ndo tushakosa uvinto wa kuliwa uroda mama Masanjeri.
Mama Mchungaji analika vizuri tuu.Ila mama atasababisha wengi warushe ndoana zao, hana u hiyo wa kihivyooooooo
"Nikishindwa ni kama nimeshinda na nikishinda kama nimeshinda" Mandonga.Nakutakia Ijumaa njema na wikiendi njema mwana JF mwenzangu.
Weka msemo wako mkali wa kuisindikiza wikiendi ya kwanza mwezi wa kumi.
nimekusifia tu mkuu au vipNa nn Tena mkuu
Kumbe sawa🤣❤️nimekusifia tu mkuu au vip
[emoji7][emoji7]Kumbe sawa[emoji1787][emoji3590]
Positive attitude"Nikishindwa ni kama nimeshinda na nikishinda kama nimeshinda" Mandonga.
Hii kauli niliichukulia ni ya kututia matumaini kuwa Kwenye kutafuta tusikate tamaa ukikosa Leo chukulia kama umepata na ukipata amini kuwa umepata.
Sure[emoji1666][emoji1666]Positive attitude