Tougher
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 245
- 65
Wapendwa naomba kujua kutoka kwa wale watalaamu wa uchimbaji wa visima vya maji. Ni mashine ya aina gani yenye uwezo wa kudumu katika mazingira tuliyopo I mean Tanzania?
Ninahitaji yenye uwezo wa kuchimba hadi mita 200, diameter 100-200mm
Natanguliza shukrani
Tougher
Ninahitaji yenye uwezo wa kuchimba hadi mita 200, diameter 100-200mm
Natanguliza shukrani
Tougher