Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Namshukuru Mungu maisha yanasonga. Sijui weye na kuadimika!!Kweli, maisha vipi
lakini mkwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshukuru Mungu maisha yanasonga. Sijui weye na kuadimika!!Kweli, maisha vipi
lakini mkwe?
ShkamooNamshukuru Mungu maisha yanasonga. Sijui weye na kuadimika!!
Marahabaaaa! Haujambo?Shkamoo
Thijambo Mkwe.Marahabaaaa! Haujambo?
Hahahaaaaa!! Sasa unadhani mie mtoto mwenzao? How are you brother?Unapendaga kujizeesha acha upewe, shikamoo dada
Akuuu sikutambui jamani, mie namtambua mkwe wangu mmoja tu, hayo mengine nawaachia wenyewe.Huyo huyo Mkwe. Mbona wanigeuka Mkwe
Im very fine my dada, nakumiss sana si wajua nakupenda jmn!Hahahaaaaa!! Sasa unadhani mie mtoto mwenzao? How are you brother?
Ila mwanao ananipenda kufa.Akuuu sikutambui jamani, mie namtambua mkwe wangu mmoja tu, hayo mengine nawaachia wenyewe.
Ila mwanao ananipenda kufa.Akuuu sikutambui jamani, mie namtambua mkwe wangu mmoja tu, hayo mengine nawaachia wenyewe.
Basi hayo ni yenu mie sitaki kuyajua, aloniletea ndio namtambua.Ila mwanao ananipenda kufa.
Hali halali KWA ajili yangu
Acha moyo wake usukume mahaba. Ahlan Wasahlan
Thank you sana.Nakupenda pia kaka yangu, and ofcoz i miss you too.
Kameenda vizuri sana na ndio kameisha hivyo!! Tukaanze tena na stress za watoto wetu.Thank you sana.
Vipi kalikizo fupi kameendaje!
Mnafanya kazi njema sana, mmetufungua akili na wengine wakawa viranja wa nchiKameenda vizuri sana na ndio kameisha hivyo!! Tukaanze tena na stress za watoto wetu.
Mkwe kwani Ben anakununulia ugoro?!Basi hayo ni yenu mie sitaki kuyajua, aloniletea ndio namtambua.
And ofcoz mwanangu namfahamu.
Mkwe kwani Ben anakununulia ugoro?!Basi hayo ni yenu mie sitaki kuyajua, aloniletea ndio namtambua.
And ofcoz mwanangu namfahamu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120]Mnafanya kazi njema sana, mmetufungua akili na wengine wakawa viranja wa nchi
Ana kitu ambacho wengi wamekosa, wala haina thamani ya ugoro wala dhahabu, more valuable.Mkwe kwani Ben anakununulia ugoro?!
Mkwe unapenda mkufu wa dhahabu au almasi.