Hata Mimi Niko valuable. Mkwe utaniua kwa preshaAna kitu ambacho wengi wamekosa, wala haina thamani ya ugoro wala dhahabu, more valuable.
Hata Mimi Niko valuable. Mkwe utaniua kwa preshaAna kitu ambacho wengi wamekosa, wala haina thamani ya ugoro wala dhahabu, more valuable.
Hakika[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120]
Amen to that.
Kufa at yo own risk, mie siwezi kukuua.Hata Mimi Niko valuable. Mkwe utaniua kwa presha
Acha tulijenge taifa lijalo, inapendeza kuona waliopitia mikononi mwako wakifanikiwa.Hakika
Huo ni kweli, ukiona matunda ya kazi yako inatia moyo na furahaAcha tulijenge taifa lijalo, inapendeza kuona waliopitia mikononi mwako wakifanikiwa.
Khaa. We we Mkwe si wa kispoti spoti. [HASHTAG]#mvumilivu[/HASHTAG] hula mbivuKufa at yo own risk, mie siwezi kukuua.
Value haisemwi, inaonekana.