Borrusia Dortmund: Kikosi bora kilichokosa bahati

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kwa soka la uhakika walilokuwa wanalitandaza hawa jamaa, inasikitisha kuona walitoka bila taji la UCL. Hii ni picha ya kikosi iliyopigwa dakika kadhaa kabla ya Fainali ya Uefa Champions League msimu wa 2012/2013 iliyofanyika kwa Malkia pale Wembley jijini London.
Unakikumbuka kikosi hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…