Tatizo wabongo ubishooo mwingiWangefanya vile waarabu wangebaa
acha kuota Real madrid anaenda fainalinaiona fainali ya Bayern vs Dortmund iki jirudia hivi
ni maoni yangu binafsi, una weza kutoa yako bila kejeli??acha kuota Real madrid anaenda fainali
Mimi ni shabiki mkubwa wa Madrid, ila tusipo komaa Leo usiku. Hawa Bayern Wana tushangazaMadrid pia wapo vizuri mzee
kuota ni kejeli si Ndoto tu mzee kama zilivyo Ndoto zingineni maoni yangu binafsi, una weza kutoa yako bila kejeli??
Dk 3 tu ziliweza kubadili kila kitu pale Bernabeunaiona fainali ya Bayern vs Dortmund iki jirudia hivi
Madrid wanaenda kuchukua ndoo ya 15Tutawashangaza
Kumbuka unakutana na mzoefu wa 'kushangaza'Tutawashangaza