Borussia Dortmund (The Black and Yellows) - Official Thread

2023/2024 ni UEFA champions league yenye matokeo ya kushangaza, jitahidi usiingie uwanjani na matokeo ya kukariri kama Makolokolo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Watu wa kubeti ndo hawaamini
 
PSG kama Mamelody, kapigwa nje ndani! Kesho Madrid waokoe jahazi sitaki kuangalia Bundesliga kwenye UEFA mie.
Yani kama ulikuwa ndani yakichwa changu nimetoka kum relate psg na mamelodi sasa hivi

Both wamepigwa vipigo njee ndani bila kupata goli hata moja

wote wana karma ya dhurma dhidi ya opponent wao walio pita mamelodi vs yanga dhuruma ya goli
psg vs barca dhuruma ya kuwa favored ( red card to barca)

Both are highly overated team kwenye makaratasi zinatisha ila vibonde tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…