Bosi alinisimamisha kazi bila sababu yoyote. Leo anamwambia mwenye kampuni kwamba nina matatizo ya kifamilia

Bosi alinisimamisha kazi bila sababu yoyote. Leo anamwambia mwenye kampuni kwamba nina matatizo ya kifamilia

Huyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.

Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.

Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.

Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.

Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.

Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.

Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.

boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
Mpongeze sasa owner amege kidogo
 
Hapa kuna hoja "aliniita ofisini kwake akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote"
Je, alikuita wewe tu?
Kama ndiyo, unadhani kwanini?
Kwa kukulipa madai yako yote inaashiria alitaka upate stahiki zako zote lakini inaonesha kuna stori kabla ya tarehe 19.
 
Huyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.

Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.

Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.

Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.

Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.

Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.

Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.

boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
Mara kwa mara ninapowaambia tatizo na adui mkubwa wa Watanzania ni ujinga, hamnielewi.

Kuna siku mtanielewa tu.
 
Matatizo.ya kifamilia nayo yakizidi mtu kufukuzwa kazi ruksa

Huyo mzungu naye analea ujinga ingekuwa mimi ndiye huyo mzungu ningekuambia tu malizana nao huko huko niliowaacha nawaamini walilloamua ndio hilo hilo
 
Huyu boss nahisi ana pepo wachafu. Issue ilikiwa hivi, tarehe 19 aliniita ofisini kwake, akasema anataka tufanye mahesabu ya madai yangu yote.

Tulipomaliza kufanya mahesabu, akanipa mshahara wangu na kuniambia akinihitaji ataniita. Kwa kuwa nililetwa hapo na mwenye kampuni, naye alikuwa ameniajiri na kunikabidhi kwa HR ili waniandalie mkataba.

Ni zaidi ya miezi sita sasa, HR hawajanipa mkataba wangu, wanasingizia hadi aje owner ambaye muda mwingi yuko kwao Sweden.

Basi nilipopewa mazaga yangu nikarudi home kukaa, juzi nikaona nimjulishe owner kwamba nimeondolewa kazini bila sababu yoyote.

Leo owner kampigia simu boss kumuuliza kwanini kaniondoa?/boss akajibu eti mimi nina matatizo ya kifamilia tena makubwa ila uakipungua atanirudisha.

Owner aliponieleza hayo nikashangaa sana kwani mimi familia yangu ina amani sana.

Owner kuniambia kwamba nimjulishe boss kwamba nimesha maliza mtatizo jumatatu nipo tayari kwa kazi.

boss kamaindi sana.
Kakasirika haswa ila atafanyeje!
Piga kazi. Sema boss kama ni dume kaona hutaki kutoa utamu. Au kama ni jike kaona unaweza muibia mautamu yake.
 
Back
Top Bottom