Bosi GSM atangaza kujiuzulu uenyekiti na ujumbe wa Taifa Stars

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mmiliki wa Kampuni za GSM, Ghalib Said Mohamed ametangaza kujiuzulu nafasi ya kuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya Taifa Stars.

Hayo yamesemwa na Afisa Biashara Mkuu wa GSM, Alan Chonjo ambaye amezungumza na wanaandishi wa Habari leo Jumatatu Februari 7, 2022.

Ameeleza kuwa Ghalib anawatakiwa Watanzania wote kila la kheri na kuendelea kusapoti michezo.
 
Kwa mtindo huu bora tufatilie ligi za wazungu.

Jitihada za watu wengine zinazimwa kirahisi na wahindi koko.
Tulishawaambia utopolo ni timu kongwe na sio kubwa. Halafu ongelea nafsi yako utopolo mkubwa wewe!
 
Tulishawaambia utopolo ni timu kongwe na sio kubwa. Halafu ongelea nafsi yako utopolo mkubwa wewe!
Hivi ndio umeongea nini wewe kolo mdogo?
Mtahonga penalty mpaka mkome nyauba wewe.
 
Nasikia kajitoa kudhamini ligi pia, billion 2 byebye
 
Kandarasi pendwa katoswa…alidhan Mama wa Mchezo mchezo…soon ataanza kujitoa kidogo kidogo Yanga
 
Hivi Manji yupo wapi? Tukampigie magoti
 
kumbe hata mpunga wenyewe hajatoa jsm
tapeli

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…