youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Usimpangie hisia.Ajaribu kuimba mapenz bas asikilizie upepo ake vyny unakuaga
Jamaa anapotea ivo, as funs lazima tutoe opinions zetu kuhusu kazi zinazotokaUsimpangie hisia.
Hata ukiwa mkulima yanini uendelee kupanda mapapai wakati unajua pesa zipo kwenye mananasi?
Jamaa anapotea ivo, as funs lazima tutoe opinions zetu kuhusu kazi zinazotoka
Acha matusi ya kishamba weRoma sio mwanamuziki ni mtafuta umaarufu kunuka tu