Bosi wa mashuhushu wanaomlinda Obama alivyojiuzulu ni darasa kwa Idara yetu ya Usalama wa Taifa

Atupe Mfano wa nchi ambako secret service huitwa bungeni na kuhojiwa!,unaweza kuhoji kuhusu secret service wakati si moja wao??
 
Atupe Mfano wa nchi ambako secret service huitwa bungeni na kuhojiwa!,unaweza kuhoji kuhusu secret service wakati si moja wao??
Ameshaorodhesha Marekani hapo juu,wao wanamwita kwenye baraza la Seneti.
 
Naendelea kushangazwa Na yanotukia Tanzania, tembo wanakufa, twiga wanapanda ndege, epa, Richmond, escrow, mabehewa, makontena nk, hadi haya yote yanatukia hii taasisi ilikuwa likizo?? Au vipi
 
Idara ya usalama wa taifa wa tz ndio imara na shupavu na namba moja kwa Africa ikifuatiwa na SA.

Kuhusu kuhoji utendaj kazi wa idara hii me nadhani ni uendawazimu, Tiss ipo imara na Salama nchini ya mkurugenz wake Mh Othman na vijana wake.

Wakati mwingine tusijifanye much know kwa mambo msioyajua.
 
Idara imara ni ile iliyojengwa katika misisngi ya kukosolewa.
 
Bado mtoa Mada haja nishawishi kuona kuwa TISS inahitaji marekebisho ya kimfumo na ili kidhibitisha kuwa idara yetu iko imara angalia matukio ya RAIS wetu, kama ingelikuwa imelala sidhani kama angepata fursa ya kutumbua haya majipu.
 
With no shadow of doubt, I support you. My reasons being.
1. To maintain checks and balances in the three arms of the gvt.
2. To keep up with public interest. Scholars from various parts of the world ( like US ) have proposed to add the media in the list of pillars of states. This is because of the far reaching implications that the media posses nowadays, information sharing has become a global trait. I think it's about time that everyone realise that we're living in the 21stC, public interest should be of paramount importance.
 
jiulize mambo yote anayofanya rais wetu anasaidiwa na nani
 
Usalama wa rais siyo wa taifa.iweje rasimali za n.c.hi zinasombwa wapo tuuh
 
Makala ndefuuu... hivi majukumu ya TISS unayajua? Unajua failures na successes za TISS tangu enzi za Mwalimu hadi karne hii ya kidijitali??? Kwahiyo kwakua wa Marekani kajiuzulu, na huku kwetu pia wajiuzulu? Kwani wa marekani anatoka mbinguni au unawaona ni noble sana? mbona nasikia wanahangaika kuja [kuomba] taarifa ukanda huu.... wa afrika if wao wana uwezo zaidi???? Then jingine.. naomba nifafanulie, hivi kumbe TISS ipo chini ya Waziri, Waziri gani vile??? Tufahamishe ndugu.
 
Mifumo yetu yote. Inaiga huko ughaibuni. Tiss waige pia usa.kwa sana. Hata wanajeshi wetu wamewahi kujifunza mbinu china,urusi,cuba nk. Tiss nao wawe walinda usalama wa taifa. Uchumi ukiwemo.....nawapa hongera ila wazidishe uzalendo kwa nchi.

Umeongelea "mifumo" halafu ukaongelea "mbinu".

Inaonesha wazi huelewi hiyo "mifumo" ni ipi na wala hilo neno lina maana ipi.

Kuna sita sita? Nne mbili? tatu tatu? Au?

Wacheni kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Ukiona mtu anaelezea jambo halafu akataja "mfumo" au even worse akataja "mifumo" ujuwe huyo ni kilaza asiyeelewa anachokiandika bali anaandika na yeye awe yumo yumo tu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hivi bado hamjamuelewa tu mleta mada?

"Tatizo" ni jina la mkuu wa TISS. Same father same mother na "tatizo" la mkuu wa NSSF.

Same father same mother na "tatizo" la Rais wa awamu iliyopita.

Kwa kigezo hicho hata awe malaika katika utendaji uliotukuka basi atakuwa ni shetani tu na kwa kigezo hicho hicho basi hata awe shetani fisadi basi kwa watu kama mleta mada huyo atakuwa ni malaika tu.

Asiye na macho haambiwi tazama.
 
kwakweliusalama wa taifa naona kuna baadhi ya vitu wamelala,wote tumeshuhudia matukio makubwa ya ugaidi yanayotokea nchi jirani lakini naona kama hawajifunzi kitu mfano magaidi walioshambulia mall za kenya walitumia simu ambazo hazijasajiliwa lakini huku kwetu makampuni ya simu ni yamehalalishwa kuruhusu hizo namba mpaka ukienda kwenye mihamala kuna gharama za kutuma au kupokea pesa kwa simu ambazo hazijasajiliwa wao wana uwezo wa kuishinikiza serikali ikafuta ujinga huu
 
H
Awa jamaa zako ulowataja ndo walomuharibu jk kwa udini wao
 
I second idea ya kuwa hawa jamaa uteuzi wao upitishwe na bunge na pia incase of anyting aweze itwa kwa bunge kutoa maelezo
 
Wenzetu wanajua nini maana ya usalama wa rais hivyo inapotokea tukio ka hilo huwa wanajiona ni aibu kubwa na fedheha! Kwa tasisi nyeti ka hiyo
 
TISS nadhani wao hawana tatizo,tatizo sio Taasisi huru ingekuwa inajitegemea ingekuwa mbali,ingekuwa inawajibika kwa bunge ingekuwa safi sana,ila inawatendaji wengi wenye uwelidi mkubwa sana,ata hayo majipu yanayolipuka wao wanamchango mkubwa sana,nadhani kuu zaidi iwe huru kufanya mambo yake Bila kuingiliwa na watu
 
TISS sio wezi kama chombo ila mfanyakazi kuwa mwizi ni tabia yake na mawazo yake
 

bahati nzuri wahusika wakuu Nifah, UncleBen na Mussolin5 wamo humu humu hivyo ngoja na wao sasa waje waitetee hii hoja yako japo nakubaliana na wewe kwa 100% zote kwani hata hao majamaa tajwa hapo hunipiga mno mkwara na kuna siku mmoja wapo nilibishana nae humu akanitolea bastola nikawa kila niki type tu naiona. nilinywea mwenyewe mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…