Wako kama mazombiNdio ujuwe Tanzania wajinga wengi.
HakikaNi upumbavu mtupu kushadadia ujunga kama huu wa wagnar
Duuu utashangazwa jinsi Russia itakavyo sambaratishwa, tena Biblia ktk Daniel 11 inasema bila KUTIMIA silaha. Najua elimu hii niliyo kupa Iko juu sana kwako!! Lakini kwakuwa haya nisemayo yatatokea hivi Karibuni tu, wewe subiri kidogo tu ujionee
Siyo Russia. Acha kumpotosha mwenzako.Duuu utashangazwa jinsi Russia itakavyo sambaratishwa, tena Biblia ktk Daniel 11 inasema bila KUTIMIA silaha. Najua elimu hii niliyo kupa Iko juu sana kwako!! Lakini kwakuwa haya nisemayo yatatokea hivi Karibuni tu, wewe subiri kidogo tu ujionee
Kwakuwa elimu hii ni kubwa sana kwenu, kilicho Baki msubirie utimizo na kwavile we are now living on borrowed times, ni hivi karibuni tuSiyo Russia. Acha kumpotosha mwenzako.
Kama haujui, nikwambie tu kuwa yule Scientist mkubwa Newton aliandika articles nyingi zaidi zinazotegemea Biblia kuliko scienceHuna akili una amini biblia mtumwa wa fikra
Putin kamtanguliza 'ahera'...Kakaya poterya. Eli net? Comrade Yvgeny kajificha Niger au?