Boss la DP World Ndani ya Kidimbwi Beach

Boss la DP World Ndani ya Kidimbwi Beach

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Jioni ya leo ntakuwa kwenye moja ya meza pale nikizungukwa na watoto wazuri tukila maisha.

Wale chawa wangu mnakaribishwa ila sitajitambulisha, nyie angalieni tu sura za ki boss hazifichiki.

Mwalimu Mpwayungu Village uje nikununulie juice ya box na maji unywe mpaka upoteze fahamu.

Ukifika counter waambie wakupe order ya Boss la DP World
 
Jioni ya leo ntakuwa kwenye moja ya meza pale nikizungukwa na watoto wazuri tukila maisha.

Wale chawa wangu mnakaribishwa ila sitajitambulisha, nyie angalieni tu sura za ki boss hazifichiki.

Mwalimu Mpwayungu Village uje nikununulie juice ya box na maji unywe mpaka upoteze fahamu.

Ukifika counter waambie wakupe order ya Boss la DP World
Ondoa huu uchafu. Acheni kuposti utopolo. Jikiteni international forum kuiunga mkono Israel dhidi ya magaidi Hamas.

Nimekuamuru mara moja ufute huu upuzi lasivyo mimi na wewe.

Unasubiri nini sasa? Ambaaa mara international moja kammon
 
Ondoa huu uchafu. Acheni kuposti utopolo. Jikiteni international forum kuiunga mkono Israel dhidi ya magaidi Hamas.

Nimekuamuru mara moja ufute huu upuzi lasivyo mimi na wewe.

Unasubiri nini sasa? Ambaaa mara international moja kammon
Sifuti kenge maji wewe. Japo nakuunga mkono waarabu wa HAMAS watembezewe kichapo heavy
 
Jioni ya leo ntakuwa kwenye moja ya meza pale nikizungukwa na watoto wazuri tukila maisha.

Wale chawa wangu mnakaribishwa ila sitajitambulisha, nyie angalieni tu sura za ki boss hazifichiki.

Mwalimu Mpwayungu Village uje nikununulie juice ya box na maji unywe mpaka upoteze fahamu.

Ukifika counter waambie wakupe order ya Boss la DP World
Samahani, tende umeleta?
 
Back
Top Bottom