Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....

Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....

China hasa hv baridi yake unavaa nguo zaid ya nne na makoti mawili...hy picha itakuwa Jux ana jua pswrd zake za instagram akaingia na kuweka hv ila ameenda wrong cz nw ni baridi kali km angekuwa yupo full na Nguo za baridi ingekuwa kwel watanzania waliojaa china wasimuoneee basi ni Jini
 
Aisee,acha kabisa,watu na network zao bwn,IGA UFEE...
 
Muuza Sura a u serious? Na madam nae anapandisha hayo madude. I c

niamini mkuu!..ukaribu wake na yule ---- rommy jones ni madude na siyo diamond!........madam wao anawaharibu sana watoto!kuna dogo alikuwa anakazana nae anaitwa robby naye kamtia katika ngada halafu kamtosa!
 
ivi ray c kapona sawa sawa kweli?? Wewe kama balozi tena mko kwenye the same issues unamuombea mtanzania mwenzio tena mwanamke mwenzio anyongwe kweli hii imekaa sawa?? Mm nikiwa nchi za watu nikiona Tanzania mwenzangu ananyanyaswa naumia sana naona kama ndugu Yangu wa damu,izo roho ray c ni za watoto wa kiume sio wanawake bhna,nyie mnasifika kwa huruma,mbona wewe ulikuwa teja umechoka hoi?? Mbona ulisaidiwa?? Au unadhan uliyoyafanya mazuri??
 
sasa unabisha ama,kwan masogange si alikuwa kabeba sembe wakasema unga,jacki nae si uyu apa,tna ndan ya mda mfupi tu

punda hao wanalipwa few thousands dollars,in fact less than 5000....hio 5000 dollars abebe mara ngapi achange anunue nyumba masaki???utumbo utapasuka kabla hajafika hata 100,000 dollars kama akiepuka jela.....labda MASAKI ya KISARAWE
 
Mtoto mzuri hivi harafu mtu anamsokomeza mikete katika nnya/kabang yake kwa malipo gani?mbona wanajiharibu hawa watoto?,hawa wanastahili adhabu kali sana na ikibidi wapotezwe katika uso wa dunia hii.

tuseme tusemavyo ila mtoto ndo uyo hapo,full uraiani
 
wana saikolojia wanasema kuwa watu wenye akil huwa wana discuss idea, watu wenye akili za kati wana discuss matukio na watu wenye akili ndogo huwa wana discuss watu. Ni hayo tu

That quote has been overused and the smartest people tend to live with their own rules......Usiwe mtumwa wa maneno ya kukariri....
 
punda hao wanalipwa few thousands dollars,in fact less than 5000....hio 5000 dollars abebe mara ngapi achange anunue nyumba masaki???utumbo utapasuka kabla hajafika hata 100,000 dollars kama akiepuka jela.....labda MASAKI ya KISARAWE

less than dollari 5000????'uwa serious mkuu,mzigo kama wa mabiliob ule wa masogange kuna dola elf 5 hapo,haya uyu jacki clifflifestyle alokuwa nayo ni ya kidola elf5???!!)ema lingine ila hyo amount hHAPANAA,tumtafte kinje myb atuambie rates zake zkoje,ha ha
 
Angalia lifestyle zao,wanaspend tu kila leo,kwa hela ipi?Hela wanapewa nzuri tu,ubebe billions upewe hela ht haifiki 10m??haiingii akilini
 
less than dollari 5000????'uwa serious mkuu,mzigo kama wa mabiliob ule wa masogange kuna dola elf 5 hapo,haya uyu jacki clifflifestyle alokuwa nayo ni ya kidola elf5???!!)ema lingine ila hyo amount hHAPANAA,tumtafte kinje myb atuambie rates zake zkoje,ha ha

ndio maana kila siku tunawaita wajinga na desparate.....unafikiri wanalipwa 100,000USD???few thousands dollars ndio maana wanabeba mpaka wanashikwa,akinunua ALTEZZA tu hela yote kwisha lazima aende atafute ya mafuta.
 
Aaah dah watu wabaya eti wataanza kujichukulia sheria mkononi,it sounds good a bit Ila too risk wale watu wazito bhna..kuna neighbour zetu apa wamepanga they are too young ila bata wanazokula ni Nouma aiseeh dah nyie Aachen waendelee kuuza, mastaa wa kike wanagongwa sana na jamaa..kila week magari ya kifahar yanaingia toka bandarin,ni nouma aiseeh dah sio siri had Mda mwingine nataman niwe rafik Zao sema hawazoelekag ovyo wale..wanaish kama wafalme tupo nao jiran ila kuwaona nadra sana
 
Angalia lifestyle zao,wanaspend tu kila leo,kwa hela ipi?Hela wanapewa nzuri tu,ubebe billions upewe hela ht haifiki 10m??haiingii akilini

lifestyle yao inakuwa funded na DONS wanaowatuma.....
 
Aaah dah watu wabaya eti wataanza kujichukulia sheria mkononi,it sounds good a bit Ila too risk wale watu wazito bhna..kuna neighbour zetu apa wamepanga they are too young ila bata wanazokula ni Nouma aiseeh dah nyie Aachen waendelee kuuza, mastaa wa kike wanagongwa sana na jamaa..kila week magari ya kifahar yanaingia toka bandarin,ni nouma aiseeh dah sio siri had Mda mwingine nataman niwe rafik Zao sema hawazoelekag ovyo wale..wanaish kama wafalme tupo nao jiran ila kuwaona nadra sana

kwahio UNA UHAKIKA wanauza unga?
 
Bado hakuna uhakika wa yeye kuwa alikamatwa na madawa, hata balozi wa Tanzania huko China hana taarifa
 
ndio maana kila siku tunawaita wajinga na desparate.....unafikiri wanalipwa 100,000USD???few thousands dollars ndio maana wanabeba mpaka wanashikwa,akinunua ALTEZZA tu hela yote kwisha lazima aende atafute ya mafuta.

ofcourse their approach ina risk sana,bt walau mil30,20 nk haziwapigi chenga,bt dola elf 5 noo
 
Kati yenu mnaosema kakamtwa na yale magazeti ya shigongo kuna mwenye ushahidi wa huyu mtu kukamatwa? Sbb picha zilizosambaa mtandaoni hazikua na jina ubalozi kule china haujui zaidi ni umbea wa watanzania tu sipati picha siku akitua pale aiport yale magazeti na viblog wataandika nn
 
Back
Top Bottom