Boss Lady ''a-update'' kurasa yake ya instagram....

Vipi unataka channel nn? Yeah kitaa kizima wanajua mzee,we kijana miaka 23 ukaendeshe range rover sport na Audi kama pikipiki,mbaya zaidi magari yao ni full tinted all the time..ukibahatika kuwaona physically lazima ukatangaze kwa watu,peas mbaya sana asikwambie mtu,vijana wanang'aa hatar full dharau...nilikuja kuamin nilivyokutana na mmoja wa hao vijana airport wakipokea wageni,wapo kama sita ivi wageni wenyew waarabu na wazungu apo apo nika confirm.maisha yao ni nouma
 
kwahio kila kijana mwenye maisha mazuri anabadili magari na hujui anafanya nini ni muuza unga???

inategemea,mtu kama patrick ngoi tunamuona na shughuli halali,mtu kama KINJE unategemea nini kama sio sembe and all of us know it,
aah sembe siuzi mimi,ACHA NIKOMAE NA JIJI NA NJIA HALALI
 
inategemea,mtu kama patrick ngoi tunamuona na shughuli halali,mtu kama KINJE unategemea nini kama sio sembe and all of us know it,
aah sembe siuzi mimi,ACHA NIKOMAE NA JIJI NA NJIA HALALI

hao wamejitokeza public kuna wengine hawajitokezi na hawapendi kujulikana hapa ndio majirani wambeya uswahili wanapozua maneno
just kidding
 
inategemea,mtu kama patrick ngoi tunamuona na shughuli halali,mtu kama KINJE unategemea nini kama sio sembe and all of us know it,
aah sembe siuzi mimi,ACHA NIKOMAE NA JIJI NA NJIA HALALI

upunda hauna dili pesa mbuzi risk kuuuubwa....utaishia kununua vi-designer handbags,shoes,altezza tu....sasa hivi vitu mbona vinapatikana kirahisi tu kwa kazi hata ya bank teller!!
 
Acheni ati ati hii picha imewekwa na mchumba wake kwa niaba ya birthday ya Jackie ambapo ilikuwa tarehe 13/1/2014.
 
Itafahamika tu..

You can fool some people for some time but you can't fool all people for all time (Bob Marley)
 
Hat ivo mnavyoviita vi alteza wenzenu tunagonga miaka 49 hat vits hatujawah kuzigusa...wacha tu tukabebe wengine ndoto zetu ni kumiliki vits tu hatuna makuu...tukipat iyo alteza titashukur sana...kwanza kwenda Thailand na china kila siku uoni raha iliyoeje??kuna watu wamegonga 69miaka au kufa ata Kenya awapajui..let's enjoy life...maisha mafupi sana...yaan mtu ulaya unaenda kama manzese..kuna watu wanataman sana hizo fursa sema hawajipata wanabak kuponda kumbe wanataman sana kuwa mapunda
 
Jaman cha msingi no kuwa waangalifu tu na kumuomba mungu..maana maisha yameshakuwa magumu..Mimi soon nitaanza kuhudhuria semina aisehh..maana tumeshahakikishiwa usalama wetu..tukikamatwa china au nchi yeyote fasta tunatoka..cha msingi ni usiri wa hali ya juu..maana wengine kuuza sembe wanaona ufahari wanajitangaza kabisa
 
Bado hakuna uhakika wa yeye kuwa alikamatwa na madawa, hata balozi wa Tanzania huko China hana taarifa
Jack alikamatwa kweli ila isssue ishamalizwa kama ile ya kina masogange na Liz imemalizwa na wenyebiashara zao kwa makubaliano na wenzetu kubadilishana na tuliowashika na pembe so balozi kukataa ni kuandaa mazingira ya kuwaaminisha watz kuwa hakuna issue ya kukamatwa Jack
 
Acheni uwoga wa kijinga..we kimba lote unalitoa chooni kama mtungi wa gesi kutoa kete kama mbilimbi unaona shida?? Mbona wengine mnapenyezwa midudu kama miguu ya watoto hamlalamiki tena wengine midume...MTU kunya kete kidogo tu mnapiga kelele acheni izo
 

kwahio range rover/audi/tinted+kupokea waarabu/wazungu ukajihakikishia ni wauza unga?nauliza tu ndugu usinifikirie vibaya
 

all the best
 
Hyo ni analysis yako tu mkuu...Mimi ni jirani si kila kitu kinachotokea kwa jirani ni rahis kusikia coz Pako wazi sana...mm ndo najua mengi hayo machache nimekuorodhoshea yanayokuhus..mengine siri Yang mkuu
 

Unafikiri serikali ya china ni kama wapumbavu wa serikali yenu mtu akamatwe na unga aachiwe kirahisi hivyo? Ingekua hivyo asingenyongwa hata mmoja sbb kuna magenge ya unga yanapesa kuliko tanzania lkn china wamekwama
 
Ongezeni ushahidi tuamini dunia sio ya mviringo. Huu bado hautoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…