Boss wa Diamond akubali kushiriki kwenye ushirikina


Hahaha hahahaha.... Hebu niunganishe nami nikachorwe tattoo za kiasili....
 

Kateleza sana tu huyu Tale kwenye hili suala la kuropoka ushirikina kitu ambacho kinapigwa na jamii nzima mana kina haribu jamii,ukiachia kesi za mauaji yakiaminika ushirikina. Afikirie kabla ya kuongea hata ka MTU wake hafanyi its obvious kwa watu kuhisi kua hayo mambo yanafanyika. Na kumharibia msanii.

Hafu mastar wengi wa kibongo kwa kujifanya wanajua kusema ukweli ambao hata ni ujinga simply ili waonekane. Kuna vitu hata kama unafanya kweli havipaswi kusemwa hadharani zaidi ya kubaki binafsi na hayaihusu jamii.
Sasa hapo Tale amejidhihirisha umbumbu wake mana hizo rumours zimekua zikienea kichini chini kuwa wasanii wanalogana, ka ya kina q chief. Na watu walishayapotezea sasa kayafukua upya.
Hawa wasanii na manager wawe makini na kauli zao hata ka yametendeka maovu huko wabaki nayo. Kuyasema hadharani ni kujichafulia CV zao na reputations zao.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kauli hii ya Babu Tale, tutarajie kusikia tofauti kati ya yeye na Diamond siku za karibuni. Naamini tutasikia wameanza kugombana, na sababu kubwa itakua kauli hii tata kutafsiriwa na mashabiki pia watanzania
 
Kwa kauli hii ya Babu Tale, tutarajie kusikia tofauti kati ya yeye na Diamond siku za karibuni. Naamini tutasikia wameanza kugombana, na sababu kubwa itakua kauli hii tata kutafsiriwa na mashabiki pia watanzania

I hope haitafikia huko..... Ni mambo tu... .
 

Kinacho sikitisha zaidi ni mtu kurudia jambo hili zaidi ya mara moja wakati anajua fika kuwa image yake ni vigumu kutenganishwa na image ya Diamond kwa haraka!

Mbaya zaidi unaweza kukuta Diamond akawa yuko innocent kwenye hili lakini kwa kauli hizi za babu tale watu wakaona na yeye wale wale!
Huyu jamaa ame ni kera sana sijui anacho tafuta ni nini? Maana hii ni zaidi ya kuhitaji kuonekana mkweli....!
 

HUyo ndomo unamtetea anakufir* au?? Ebu niondolee uk*m* wako apa kama unanyony* mk** wake ni wewe na wangese wenzio mxiuuuu na ukome kunitag mbwa wewe, hovyo mama yako aliyekuzaa, unajifanya unamtetea unamjua wewe?? Mxuuuu una bahati nipo sehemu mbaya ningekunyea mpaka ungeshindwa kulala mbuzi mtu wewe
 

We malaya achana na mimi, kama ndomo anakunyonya mat**o ni uko mbwa kabisa wewe, tena ukome kuni quote hili jukwaa sio la bahasha wako malaya usiyekuwa na soko wewe mxieeee, unaacha kumshobekea aliyekuumba unashoboka na watu ambao ata hawajui uwepo wako, tena unikome kama ulivyokoma kunyonya dudu ya baba ako mzazi hayawani wewe, naona ulikuwa hunijui vzuri mbwa mwitu wewe
 

Huenda yalikuwa yanaongea majini yake aliyoyabeba.

Alafu anadai ni Ramadhan..so anaongea ukweli.
 
Kwa kauli hii ya Babu Tale, tutarajie kusikia tofauti kati ya yeye na Diamond siku za karibuni. Naamini tutasikia wameanza kugombana, na sababu kubwa itakua kauli hii tata kutafsiriwa na mashabiki pia watanzania

Kama tu Diamond hajihusishi na charms. Lakin kama naye chama moja. Hawawezi tengana.
 
Jf sio ya baba yako. cute b njoo uone mwanga anajitaja hadharani huku
 
Last edited by a moderator:
Kwa kauli hii ya Babu Tale, tutarajie kusikia tofauti kati ya yeye na Diamond siku za karibuni. Naamini tutasikia wameanza kugombana, na sababu kubwa itakua kauli hii tata kutafsiriwa na mashabiki pia watanzania

MI nimemuelewa babu tale wala sihitaji dictionary wala kamusi, ila ipo siku wataumbuka na uchawi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…