3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Haha alaf wanaisoma behind the skinNi kama behind the scene. Inaandikwa behind the seen!
Ndio mkuu.Ni binti wa Peter Noni?
Aisee..!!Kuwa na kipindi katika kituo cha TV sio lazima uwe mwajiriwa wa hapo mkuu!
Mkasi?zamani kipindi kama hiki kilikuwapo eatv
Labda wanamaanisha aircraft carrierSijawahi kujua ni kwanini 90% ya wabongo hua wanashindwa kuliandika neno career kwa usahihi wake wengine hufanya makosa na kuandika "carrier" wakimaanisha "career" hahahaha....
Kabisa chaliangu ..Yuko simple sana ata ukimfata akushauriNilimsikia jana XXL ana onekana ni mdada anaye jielewa sana.
Aya bhana.!!Ni MRS. DOREEN lakini hayupo kwenye mahusiano yoyote hana mtu...naomba nieleweshe hizi MRS, MR, MISS...Zinamaanisha nini?
YesNi binti wa Peter Noni?
Kabisa mkuuWatoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
We ndo nimekuelewaWatoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
Hariss kapiga wa kike.Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania Mrs.Doreen P.Noni ameanzisha kipindi cha TV ambacho kinachoitwa 'Tena na Tena/Again & Again' Ambacho kimeanza leo kuruka Clouds TV pale CMG,,Akiongea leo kwenye XXL ya Clouds FM amesema Content ya kipindi ni Watu mbalimbali waliofanikiwa katika maisha au Career zao kuzungumzia walifikaje hapo walipo pamoja na Changamoto walizokutana nazo,Pia amesema kipindi kitaanza na Makoye wa MakJuice ambae ndo atakua mgeni mfunguzi wa kipindi hiki..Mrembo huyu ambae kasema hayuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote amekua ni Mtu simple ambae anatoa ushauri na mawazo juu ya watu tofautitofauti,,Issue yake imenifundisha kitu kimoja kwamba'Hupaswi kuridhika na sehemu uliyopo hata kama ni kubwa kivipi'.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Oohoo una maanisha nini dingii??Mbona huyu sio mchungaji?Hariss kapiga wa kike.