Boss wa Lake FM Aanzisha kipindi katika Clouds TV.

Boss wa Lake FM Aanzisha kipindi katika Clouds TV.

Watu waliofanikiwa wakieleza jinsi walivyofanikiwa? Upuuzi mtupu ndio kama ya Patrick Ngowi kwamba kwenye media ameeleza kwamba alifanikiwa kwa kuanza kuuza simu na solar kumbe behind the scene alikuwa MPIGAJI tu,Bank anadaiwa,Smuggling kwa sana mpaka dhahabu yake imekamatwa.
 
Ni MRS. DOREEN lakini hayupo kwenye mahusiano yoyote hana mtu...naomba nieleweshe hizi MRS, MR, MISS...Zinamaanisha nini?
 
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.
 
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.
Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.
So msianze kujilinganisha nae.
Kabisa mkuu
 
Baba yake kapiga sana TIB,dijui kesi yake inaendeleaje yeye na dk ringo tenga
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.
 
Watoto wa maskini humu JF wataanza kupagawa na zile story za 'waliofanikiwa' oooh wkt niko chuo nilikua na save pocket money naenda kununua nguo za wakina dada kule makoroboi then nakuja nakuziuza kwa wanachuo nikaendelea hivyo hivyo mpk nikapata mtaji wa kufungua radio hii.

Kalagabhao, huyo binti ni mtoto wa Peter Noni ambae ni former Managing Director wa Tanzania Investment Bank (TIB) pia Managing Director of Six Telecoms Company Limited, so pesa amezikuta nyumbani alikozaliwa.

So msianze kujilinganisha nae.
We ndo nimekuelewa
 
Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania Mrs.Doreen P.Noni ameanzisha kipindi cha TV ambacho kinachoitwa 'Tena na Tena/Again & Again' Ambacho kimeanza leo kuruka Clouds TV pale CMG,,Akiongea leo kwenye XXL ya Clouds FM amesema Content ya kipindi ni Watu mbalimbali waliofanikiwa katika maisha au Career zao kuzungumzia walifikaje hapo walipo pamoja na Changamoto walizokutana nazo,Pia amesema kipindi kitaanza na Makoye wa MakJuice ambae ndo atakua mgeni mfunguzi wa kipindi hiki..Mrembo huyu ambae kasema hayuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote amekua ni Mtu simple ambae anatoa ushauri na mawazo juu ya watu tofautitofauti,,Issue yake imenifundisha kitu kimoja kwamba'Hupaswi kuridhika na sehemu uliyopo hata kama ni kubwa kivipi'.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Hariss kapiga wa kike.
 
Mimi nataka kumuona huo urembo wake naturally siyo na hayo mawig
 
Back
Top Bottom