Dalali wa mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 326
- 464
Habari wakuu,
Baada ya kuleta uzi WA kuuza nyumba hapa Na wengi wenu kunishauri nisiuze kiufupi nimepokea ushauri wenu ndugu zangu.
Ombi langu ni hili kwenu naomba MTU yeyote mwenye Gari ambayo anataka kuifanya Uber basi anitafute huyo atakuwa boss wangu.
Malipo Ni kila wiki Na ni makubaliano ya kwamba kila wiki nitaleta hesabu Shilingi ngapi.
Leseni ya Gari ninayo.
Nina mke watoto 3 na ninalipa Kodi ya nyumba hapa jijini Dar es salaam.
Namba yangu ya simu ni 0754693556
Baada ya kuleta uzi WA kuuza nyumba hapa Na wengi wenu kunishauri nisiuze kiufupi nimepokea ushauri wenu ndugu zangu.
Ombi langu ni hili kwenu naomba MTU yeyote mwenye Gari ambayo anataka kuifanya Uber basi anitafute huyo atakuwa boss wangu.
Malipo Ni kila wiki Na ni makubaliano ya kwamba kila wiki nitaleta hesabu Shilingi ngapi.
Leseni ya Gari ninayo.
Nina mke watoto 3 na ninalipa Kodi ya nyumba hapa jijini Dar es salaam.
Namba yangu ya simu ni 0754693556