Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Umejaribu kuchunguza au kuhisi chanzo ni nini?
Ni aina gani ya kazi aliyokuajiri?
Una muda gani kazini,na manyanyaso yameanza lini(hivi karibuni au zamani)?
Wapendwa habarini za Leo?
Boss wangu ananisumbua kweli kweli yaani sina amani ya kazi hata kidogo, ni mwanamke na anatoka nchi jirani, nimejaribu kucheki ni wapi nimekosea but sioni. Anafikia kipindi cha kunitukana, yaani ile kunifokea haridhikli nayo sasa kaamua kabisa kunitukana anavyopenda, kumpiga natamani but sheria inasemaje? Naombeni mwenye uewelewa juu ya hili...
CC: MANI zumbemkuu Little Angel
Nakushauri,Mpwa ni shirika tena la kimataifa sio Local, nina zaidi ya mwaka na nusu sasa, nina hisi ana mtu anataka kumweka kwenye post yangu so anachokifanya ni kuninyanyasa ili niwe frustrated niache kazi ....
Hizi ajira za NGOs naza watu binafsi huwa huwa hazina guarantee, ukiona hivyo jipange maana upo karibu kufukuzwa. Hakuna haja yakugombana ila tafuta njia yakumuambia kuwa wewe siye mtoto wake hivyo aache kukutukana kama mtoto mdogo.
The legal provisions are very clear in that the Employment and labour Relation prohibits employers to discriminate directly or indirectly against an employeein any employment policy or practice on grounds of colour; nationality; tribeor place of origin; political opinion or religion, sex, gender, pregnancy,marital status or family responsibility, disability, HIV/AIDS; age or station oflife.Also it prohibits harassment of employees on any one or combination of the grounds.Your case is simply a harrassmentand can be initially be dealt with at work place.Now do you have a grievance procedure that you can use to lodge your claim?.If there is good grievance procedure use it and in case it fails you may forward your matter to Commission of Mediation and of Arbitration .The good thing about cases of discrimination and harrassment is that the law has criminalized it and therefore employers can be taken to court if they dont deal properly with case of discrimination.As these cases can be tricky in practice I advise you to see the HR Manager for advice.
Wapendwa habarini za Leo?
Boss wangu ananisumbua kweli kweli yaani sina amani ya kazi hata kidogo, ni mwanamke na anatoka nchi jirani, nimejaribu kucheki ni wapi nimekosea but sioni. Anafikia kipindi cha kunitukana, yaani ile kunifokea haridhikli nayo sasa kaamua kabisa kunitukana anavyopenda, kumpiga natamani but sheria inasemaje? Naombeni mwenye uewelewa juu ya hili...
CC: MANI zumbemkuu Little Angel
Hii habari yako inamapungufu maana unalaumu tu lakini hutuambii chanzo ni nini,inawezekana kwa unayoyafanya unastahili kufukuzwa kabisa lakini akiiwaza familia hiyo ndio option anayobakia nayo,so tuambie vizuri kulikon?