Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wapendwa habarini za Leo?
Boss wangu ananisumbua kweli kweli yaani sina amani ya kazi hata kidogo, ni mwanamke na anatoka nchi jirani, nimejaribu kucheki ni wapi nimekosea but sioni. Anafikia kipindi cha kunitukana, yaani ile kunifokea haridhikli nayo sasa kaamua kabisa kunitukana anavyopenda, kumpiga natamani but sheria inasemaje? Naombeni mwenye uewelewa juu ya hili...
CC: MANI zumbemkuu Little Angel
Boss wangu ananisumbua kweli kweli yaani sina amani ya kazi hata kidogo, ni mwanamke na anatoka nchi jirani, nimejaribu kucheki ni wapi nimekosea but sioni. Anafikia kipindi cha kunitukana, yaani ile kunifokea haridhikli nayo sasa kaamua kabisa kunitukana anavyopenda, kumpiga natamani but sheria inasemaje? Naombeni mwenye uewelewa juu ya hili...
CC: MANI zumbemkuu Little Angel
Last edited by a moderator: