KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
wanawake mnaowaokota kwenye dansi la msondo ndivyo walivyoMzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.Matokeo kanitukania boss wangu . Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Cha kumfanya sidhani kama kipo mwenza wako ni mshari na sababu ushajua mapungufu yake angalia kama unaweza kuishi na kuyazoea na kumchukulia kama alivyo, ni vigumu mtu kubadili tabia. Ila usichoke kuendelea kumwambia kwamba hiyo tabia yake inakukera na huipendi sababu ukikaa kimya, kuna siku anaweza akakufata huko ofisini na kuanzisha fujo.Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
mkuu ile issue iliisha vipi?, mbona hukutoa feedback?wanawake mnaowaokota kwenye dansi la msondo ndivyo walivyo
Hata kama jamaa angekuwa ana makosa kiasi gani basi ingebidi amalize hasira zake na huyo jamaa yake na sio kutukana kila mtu.., Sijawahi kuona jambo limekuwa-solved kwa matusi.I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake.
Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.
Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
Uenda ni kwa style mkuu usishituke.hahahaha na wapigaji tutawajua humuhumu..umpige umemzaa weye huyo!
piga hii sio ya style mkuu..kavu sanaUenda ni kwa style mkuu usishituke.
I support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake.
Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.
Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
Kwa hiyo ur suggeting kwamba baada ya kutukana hao watu sasa amepata amani...I think you are more evil than her... Do you have to argue like somebody who haver seen the inside of a class room? Kemea hiyo spirit ndani yako...Kwa taarifa yako approach unayotumia kusolve tatizo ndiyo inayoonyesha kama uko sawa sawa upstairs or ortherwiseI support her 100%. Unajua mtasema yote lakini mpaka afiikie uamzi huo liko jambo. Jambo lenyewe ni hili, ameshafanya uchunguzi kwa muda mreuf na kugundua hayo majina yaliyotukanwa ni sababu ya yeye kutokuwa na amani kwa nyumba yake. Huyo bosi angekufukuza kazi kama asingekuwa na upuuzi unaoendelea kati yenu.Tukana dada, washike adabu, wanaume wenyewe wachache kama nini.
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
mwe hii ya kufungia mwaka!Chukua simu yake na wewe tukana wanaume wote walio kwenye simu yake!
Atashindwa kuona tofauti yangu na yake!
Cna upuuzi huo naanzaje kumtukana mtu asiye na hatia?
Pili natafuta nini hasa jella au?
Mzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
Usingeleta JF! Umepoteza time and space