BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti

BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
FB_IMG_1584602659182.jpg

Benki Kuu ya Tanzania imesema noti za Tanzania zimetengenezwa kwa namna ambayo haziwezi kuhifadhi virusi.
 
Serikali inapaswa kufungulia simu zote ambazo hazijakamilisha usajili kwa alama za vidole ili kupunguza kasi ya maambukizo kutokana na matumizi ya noti. Tuache uzembe corona is highly contagious.

Waache iingie uswahilini, Tandale, Mbagala, Buguruni au Gongolamboto huko ndipo akili itawakaa sawa!

Haitaweza kudhibitika tena, maafa yake yatakuwa afadhali ya vita!

Kipindupindu tu kinawatesa kuondoa ngoja tuone
 
Back
Top Bottom