BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti

BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti

View attachment 1392836
Benki Kuu ya Tanzania imesema noti za Tanzania zimetengenezwa kwa namna ambayo haziwezi kuhifadhi virusi.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣
Mbavu zangu jamani sijawahi kuona serikali inayodanganya raia wake kama hii Hahahahahhahahahahhahahaaaaaiiiii Toba!
 
ngusillo,
Ikiwa bure huyo anayekuhudumia kwenye kibanda chake cha mpesa atalipwa na nani?sahau mambo ya ujamaa tuko kwenye ubepari Usipojipanga Utapangwa
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣
Mbavu zangu jamani sijawahi kuona serikali inayodanganya raia wake kama hii Hahahahahhahahahahhahahaaaaaiiiii Toba!
Mtamuelewa Zitto aliposema tatizo ushamba.
 
Aisee..! Kila mtu kawa msemaji wa Corona Virus.
 
Ugonjwa huu upo ,denial haiwezi kutusaidia kuepukana na maafa . Zaidi ya watu 400 wamefariki jana(hesabu ya siku) Italy.
Mimi pia ninaamini sana kwamba upo, ili nikiringanisha hali ilivyo kwa wenzetu na huko kwetu unaweza ukapata hisia kwamba we have better awareness, coordination na Health Systems, nadhani kuna mchezo unaendelea upande wetu au hatuna kabisa uwezo juu ya hili.

Ugonjwa upo lakini upande wa Isabella naamini ni mchezo tu ulifanyika hapo.
 
Upumbavu huu kama teknolojia wanayo ya kuzuia maambukizi hata kwenye karatasi basi kwa nini wasitengeneze vitu vingine vyenye teknolojia inatozuia maambukizi, msituletee sanaa zenu, hakuna corona.
Yaani mafua tu mnayakuza kwa kuturiporia vifo duniani basi ndo imekuwa big issue, nasema hakuna corona ni mafua tu hayo, hata Ndugulile anajua ila kuna biashara kubwa nyuma ya corona duniani
View attachment 1392836
Benki Kuu ya Tanzania imesema noti za Tanzania zimetengenezwa kwa namna ambayo haziwezi kuhifadhi virusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom