Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Wameongea as if wakati wa utengenezaji walijua kutakuwa na coronavirusView attachment 1392836
Benki Kuu ya Tanzania imesema noti za Tanzania zimetengenezwa kwa namna ambayo haziwezi kuhifadhi virusi.
Serikali inapaswa kufungulia simu zote ambazo hazijakamilisha usajili kwa alama za vidole ili kupunguza kasi ya maambukizo kutokana na matumizi ya noti. Tuache uzembe corona is highly contagious.