BoT: Pesa ya Tanzania haiwezi kusambaza Virusi vya Corona. Zimetengenezwa kwa namna ambayo zinaweza kuzuia vimelea kusalia kwenye noti

Serikali inapaswa kufungulia simu zote ambazo hazijakamilisha usajili kwa alama za vidole ili kupunguza kasi ya maambukizo kutokana na matumizi ya noti. Tuache uzembe corona is highly contagious.

Waache iingie uswahilini, Tandale, Mbagala, Buguruni au Gongolamboto huko ndipo akili itawakaa sawa!

Haitaweza kudhibitika tena, maafa yake yatakuwa afadhali ya vita!

Kipindupindu tu kinawatesa kuondoa ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…