financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
[emoji3][emoji3][emoji3] dona kantiriPesa yetu ni bora kuliko China na kwengineko duniani, sisi ni dona kantiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ikilipuka uswahilini lockdown is not an option kudhibiti maambukizo zaidi-utauawa watu kwa njaa .Waache iingie uswahilini, Tandale, Mbagala, Buguruni au Gongolamboto huko ndipo akili itawakaa sawa!
Haitaweza kudhibitika tena, maafa yake yatakuwa afadhali ya vita!
Kipindupindu tu kinawatesa kuondoa ngoja tuone
Mwambie dokta noti hazishiki kirusi BOT wamesema noti zetu zinajisanitise[emoji23][emoji23]Kenya Benki kuu yao imetangaza kuweka karantini kwa siku 7 fedha taslimu ( cash) zitakazopokelewa na mabenki nchini humo!
Nadhani noti zetu ni za kisasa zaidi!
mama inabidi nikutoe huko
View attachment 1392836
Benki Kuu ya Tanzania imesema noti za Tanzania zimetengenezwa kwa namna ambayo haziwezi kuhifadhi virusi.
Sasa naanza kupata hisia kwamba hata yule Isabella Mwampamba huenda ni mchongo uliochongwa na serikali ajitangaze kwamba ana Corona halafu ionekane pamoja na kuwa na Corona lakini si tishio kwasababu pamoja na kuwa na maambukizi lakini haumwi chochote kile.
Yote hayo ni ili kuondoa Panic.
Eitherway, ugonjwa huu umekuzwa sana na ni matokeo ya kila mtu kumiliki 'chombo' cha habari.
Pia wailazimishe mitandao ya simu ipunguze makato mtu anapofanya miamala.Serikali inapaswa kufungulia simu zote ambazo hazijakamilisha usajili kwa alama za vidole ili kupunguza kasi ya maambukizo kutokana na matumizi ya noti. Tuache uzembe corona is highly contagious.
Aisee kuna uwezekano huo. Zile drama za jana za kumpigia simu live halafu akaanza blah blah za kuomba msamaha na kuishukuru serikali ya rais nani sijui...Nikajua hapa mh..maigizo mengine haya. Ikumbukwe ni kinyume cha maadili kuanika hadharani jina la mgonjwa na ugonjwa anaogua.Hata mimi naamini huyu Esabella siyo mgonjwa ila mla bata tu aliyetafutwa kwa kazi maalumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugonjwa huu upo ,denial haiwezi kutusaidia kuepukana na maafa . Zaidi ya watu 400 wamefariki jana(hesabu ya siku) Italy.Sasa naanza kupata hisia kwamba hata yule Isabella Mwampamba huenda ni mchongo uliochongwa na serikali ajitangaze kwamba ana Corona halafu ionekane pamoja na kuwa na Corona lakini si tishio kwasababu pamoja na kuwa na maambukizi lakini haumwi chochote kile.
Yote hayo ni ili kuondoa Panic.
Eitherway, ugonjwa huu umekuzwa sana na ni matokeo ya kila mtu kumiliki 'chombo' cha habari.
Nchi hi kila sehemu ni siasa tu za kumfurahisha aliewateua.Analeta siasa kwenye maswala ya afya