balali anayo phd..kuna makala moja nimepata kusoma..inamtaja balali kama moja ya reliable eminent economist waajiriwa wa IMF..ambapo yeye akiwa na wenzake wanne walitumwa na world bank kwenda kusaidia reform policy zilizoifanya MALAYSIA kuwa tiger asia leo hii....na pia kwenye jarida hilo alitaja mikakati ambayo inaweza kuipaisha nchi kama tanzania kama ikifuatwa....sijui kwa nini watanzania wanaoheshimika nje wanashindwa kuwa msaada nyumbani..may be tuna wa misuse..
kuhusu phd alisema kule IMF hawapendi kujiita dr..simply kwa sababu karibu wote wenye ngazi ya juu na wa kati wengi ni phd holder...kwa hiyo wanaamua kurahisisha ..la kila mtu angeitwa dr..dr...ikumbukwe kuwa balali aliazimwa na mkapa toka IMF akaaza kwa kumshauri kidogo alipoingia 1995 kabla hajampa ugavana...kutokana na familia yake kuwa newyork aliishi new africa hotel kwa karibu mwaka mmoja,kabla ya kuhamia kwenye nyumba yake na baadaye kidogo kumuoa ms muganda..baada ya kuwa amemdivorce mkewe ulaya...ON SECONDMENT...nadhani ajira yake kule bado ipo...pamoja na huu wizi uliotokea mwishoni mwa mwaka 2005...sera za kiuchumi za balali walizokuwa wakimshauri mkapa pamoja na yule raia wa ghana ..zilifanikiwa..kwa kiasi fulani...
kwa reference ya gazeti la mtanzania daima...ndugu yake aliyehojiwa anasema balali ameandikisha maelezo ya anachojua yeye kuhusu ufisadi..akitaka kusafisha jina lake kwa kuonekana a sole player..na imeelezwa kuwa hii kashfa chanzo chake ni watu wazito zaidi yake..maelezo yamehifadhiwa kwa wakili asiyejulikana..na kuna ndugu zake wameshapewa maelezo kuwa if anything happens kabla hajaweza kuyatoa mwenyewe ..basi yatolewe for public consumption.....
Wan JF.
Msipoamini habari nilizoandika kuhusu poision aliopewa huyu bwana balali hiyo ni shauri yenu. Lakini ukweli uko pale pale na ndio hicho kilichotokea.Aliyenipa hizi habari ni mwanafamilia wa Balali na unajua tena hawezi wenda indeep more that that maana naye hajui kama mimi nilikuwa namchota ili nilete habari au la! Lakini kwa kuwa ninaishi hapa na nimejiahidi kuyasaka yale nayoweza kuyapata kutoka kwa ndugu wa balali aliyeko hapo. Lakini tatizo la JF kuna ka-tabi ka kudhalilishana. Ukiniuliza maswali eti kwa nini hawakumpa maziwa mara baada ya kugundua amepewa sumu...sasa mimi unataka nikujibu nini. Ninachojua ni kwamba hiyo sumu iliharibu sehemu za utumbo wako kama nilivyoeleza ndio maana akafanyiwa operashion. Tuwe tunaheshimu mchango wa mawazo ya wenzetu kuliko kukandia na kuingiza ukabila kwa waota habari kama baadhi ya memmbers hapa mlivyonishambulia. Ukweli utakuja julikana na mimi naamini nilichokisema kitaibuka kuwa cha kweli na hakuna yeyote hapa atakayekubali kwamba nilishakisema. Mimi nitaendelea kudondosha habari kila nitakavyozipata.
"BALALI YUKO KWENYEHOTEL NDOGO YA MTAANI NA SI RAHISI KUMPATA KWASABABU HOTEL HIYO SI POPULAR SANA" hayo ni kati ya niliyoyataja kwenye thread yangu ya awali na yametoka kwa huyo mwanafamilia wake. Tuache ubishi usio na sababu bali tudadisi.
Mtanzania:
liyoyasema kuhusu kuripoti mambo yanayohusiana na uhalifu yana ukweli kwa kiasi fulani. Lakini pia usisahau utashi wa mgonjwa mwenyewe.
La mhimu zaidi, nina hakika hapo Ulaya na huko Marekani, ni uhifadhi wa habari za mhusika (Protection of Information). Ugumu unaongezeka zaidi uhalifu unapokuwa umefanyika nje ya mipaka na hapo anapotibiwa mgonjwa mwenyewe.
Nililo na uhakika nalo ni kwamba hakuna hospitali yoyote huko USA itakayotoa taarifa kuhusu habari zozote za mgonjwa wao Balali, awe amenyweshwa sumu au la bila ya ridhaa yake.
Mtanzania:
Unachukua liberty ya ku-assume kuwa Balali alikwenda pale hospitalini kuripoti kuwa amenyweshwa sumu' mimi sijui kama hivyo ndivyo alivyofanya. Na kama katika uchunguzi wao hapo hospitalini wakigundua kuwa ni sumu ndiyo iliyomletea madhara, je wamlazimishe awaambie ni nani aliyemnywesha hiyo sumu ili wamlipoti polisi?
Hospitali zinaogopa sana mambo ya kutoa taarifa za wagonjwa bila wagonjwa wenyewe kukubali na kushirikishwa kwa karibu sana; complication inaongezeka wakati uharifu wenyewe umetendeka nje ya nchi.
Mtanzania:
Hili tuliachie hapa. Ukweli ni kwamba, kwa hali ya Marekani, hospitali yoyote haina madaraka ya kulipeleka jambo la matibabu ya Balalli polisi bila ya ridhaa yake binafsi, au bila ya kuwepo mtu ambaye anadai kuwa na udhuru/manufaa na jambo hilo.
Mtanzania,
Nikupe upande mwingine wa issue? What if the powers that be do not want the former governor to return home? Unadhani hawa watachukua hatua zozote arejeshwe nyumbani baada ya RO kumwambia bayana kwamba asirudi Bongo na kupona kwake ni miracle? Balali's mother, brothers and sisters are in Dar. He would love to be with them. But all in all tuvute subira. Time will tell
Nikupe upande mwingine wa issue? What if the powers that be do not want the former governor to return home? Unadhani hawa watachukua hatua zozote arejeshwe nyumbani baada ya RO kumwambia bayana kwamba asirudi Bongo na kupona kwake ni miracle? Balali's mother, brothers and sisters are in Dar. He would love to be with them. But all in all tuvute subira. Time will tell
Wan JF.
Msipoamini habari nilizoandika kuhusu poision aliopewa huyu bwana balali hiyo ni shauri yenu. Lakini ukweli uko pale pale na ndio hicho kilichotokea.Aliyenipa hizi habari ni mwanafamilia wa Balali na unajua tena hawezi wenda indeep more that that maana naye hajui kama mimi nilikuwa namchota ili nilete habari au la! Lakini kwa kuwa ninaishi hapa na nimejiahidi kuyasaka yale nayoweza kuyapata kutoka kwa ndugu wa balali aliyeko hapo. Lakini tatizo la JF kuna ka-tabi ka kudhalilishana. Ukiniuliza maswali eti kwa nini hawakumpa maziwa mara baada ya kugundua amepewa sumu...sasa mimi unataka nikujibu nini. Ninachojua ni kwamba hiyo sumu iliharibu sehemu za utumbo wako kama nilivyoeleza ndio maana akafanyiwa operashion. Tuwe tunaheshimu mchango wa mawazo ya wenzetu kuliko kukandia na kuingiza ukabila kwa waota habari kama baadhi ya memmbers hapa mlivyonishambulia. Ukweli utakuja julikana na mimi naamini nilichokisema kitaibuka kuwa cha kweli na hakuna yeyote hapa atakayekubali kwamba nilishakisema. Mimi nitaendelea kudondosha habari kila nitakavyozipata.
"BALALI YUKO KWENYEHOTEL NDOGO YA MTAANI NA SI RAHISI KUMPATA KWASABABU HOTEL HIYO SI POPULAR SANA" hayo ni kati ya niliyoyataja kwenye thread yangu ya awali na yametoka kwa huyo mwanafamilia wake. Tuache ubishi usio na sababu bali tudadisi.
Sisi wabongo ni wafalme wa conspiracy theories,isay!....Karume aliuawa na Salim,Kolimba aliuawa na CCM,Kombe aliuawa na usalama wa taifa,Ippi Malecela aliuawa na Nchimbi,Rutihinda nae alitiliwa sumu na serikali,Sokoine nae aliuawa na wahujumu uchumi,Kighoma Malima nae aliuawa na serikali....hata Mwalimu wanasema aliuawa, na sasa Balali....the list is endless.
Mkuu Zanaki,
Heshima yako, wengi kati ya uliowataja hapo juu ambao ni marehemu tumepewa dataz zao za jinsi walivyokuwa-Kolimbad, sasa tatizo la wananchi kama wewe huwa wanakataa bila dataz ndio mana huwa tunawaaamini the kings wa Conspiracy Theories, maana angalau huwa wana dataz ku-back up their therioes, sasa once for a change vipi ukitupatia dataz juu ya vifo vyao maana tumeshapewa the otherside tayari!
It is about time tukaanza kusema na dataz, na kunyamaza kama hatuna maana ninazimani 110% dataz za Jasusi on ex-Gavana, kama unazo tofauti wekahapa kama huna kaaa pembeni ule dataz maana hii ni JF, kama wewe huna wengine wanazo!