BOT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.4%. Hongera Rais Samia, hongera Comrade Mwigulu

Rais Samia Suluhu ameikuta nchi ikiwa katika hali mbaya ya kiuchumi lakini yeye ameweza kupandisha uchumi huyu mama 2025 hana mpinzani
 
Rais Samia Suluhu ameikuta nchi ikiwa katika hali mbaya ya kiuchumi lakini yeye ameweza kupandisha uchumi huyu mama 2025 hana mpinzani
Uko sahihi Sana mkuu..

Ila ni waty tuu wenye chuki ambao wanaona she is doing beyond their expections ndio maana wanatapata tuu..

Kazi nzuri ya Rais Samia inatambulika Duniani kote Sana πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221011-162737.png
    99.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221011-144250.png
    96.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221011-162213.png
    67.6 KB · Views: 3
Uko sahihi Sana mkuu..

Ila ni waty tuu wenye chuki ambao wanaona she is doing beyond their expections ndio maana wanatapata tuu..

Kazi nzuri ya Rais Samia inatambulika Duniani kote Sana πŸ‘‡
Kuna watu wao kazi yao kupinga hao ndio Rais Samia Suluhu aliwaita akili ndogo hawajawai kuona zuri lazima watafute kasoro wanajua upinzani ni kupinga badala yake wangefata agizo la Rais Samia Suluhu tushilikiane kwasababu tunajenga Tanzania
 
Hakika uko sahihi 100%
Huu mjadala utakuwa mzuri ikiwa tutapata baadhi ya ripoti za indicators kama-

  • Taarifa za ajira.
  • Taarifa za makusanyo.
  • Ukuaji wa Biashara.
  • Taarifa za uzalishaji.
  • FDI nk.
 
Kuna watu wao kazi yao kupinga hao ndio Rais Samia Suluhu aliwaita akili ndogo hawajawai kuona zuri lazima watafute kasoro wanajua upinzani ni kupinga badala yake wangefata agizo la Rais Samia Suluhu tushilikiane kwasababu tunajenga Tanzania
Waambie wapinge na hili πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-111449.png
    120.4 KB · Views: 2
Hali sio mbaya kama unavyoeleza wewe walau ina uafadhari..

Linganisha Tanzania na wengine hapo Chini afu utuambie wapi kuna Hali mbaya πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-151025.png
    29.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221019-133020.png
    258.7 KB · Views: 2
Takwimu za kupika hiz kwa faida ya nani uchumi unakuaje huku biashara nyingi zinafungwa
 
Jizi mkubwa wewe umepata wapi pesa ya kuagiza mabasi 60 kwa jina la mkeo Esther, subiri arobaini zako zitafika soon
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Mkuu Kazi nzuri inazidi kufanyika πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221019-133020.png
    258.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221018-113244.png
    202.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221018-085238.png
    149.6 KB · Views: 2
Kwanini usijadili Takwimu zilizowekwa hapo juu badala yake unamtaka mh Waziri, kwa hiyo akija hapa ndio zitabadili hizo takwimu au wewe unatakaje
Takwimu zetu tunaangalia hali ya maisha mtaani. Hizo za benki kuu kaeni nazo wenyewe
-mahindi sado 5,000
-maharage kilo 3,500
-santalucia pkt 2,500
Hivi ni kwa uchache tu halafu we we unaandika uchawa wako hapo unatulazimishe tushangilie.
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-111449.png
    120.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221019-151025.png
    29.3 KB · Views: 2
Takwimu zetu tunaangalia hali ya maisha mtaani. Hizo za benki kuu kaeni nazo wenyewe
-mahindi sado 5,000
-maharage kilo 3,500
-santalucia pkt 2,500
Hivi ni kwa uchache tu halafu we we unaandika uchawa wako hapo unatulazimishe tushangilie.
Vyote hivyo watu wanamudu kununua ndio maana vyakula havidodi which means income zimeongezeka na ndio maana Halisi ya uchumi kukua sasa.
 
Hali sio mbaya kama unavyoeleza wewe walau ina uafadhari..

Linganisha Tanzania na wengine hapo Chini afu utuambie wapi kuna Hali mbaya πŸ‘‡
Kwanini tujilinganishe na waliochoka. Uzuri wa hali haulinganishwi na wenye hali mbaya zaidi inabidi tujicompare na wenye hali nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…