ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Haya sio maneno yangu niaelezo ya Benki Kuu ya Tanzania ,BoT..
Kwamba Makisio ya mwaka 2022 yalikuwa ni ukuaji wa Asilimia 4.7% lakini Hadi Desemba mwaka 2022 Ukuaji ulikuwa Asilimia 5% na hivyo Kupita matarajio yaliyowekwa kabla..
Rais Samia na Mwigulu wanazidi kufanya Wonders na kuwaziba midomo Wapinzani wao..
Haters Ruksa mapovu ya kujifariji.
Kwamba Makisio ya mwaka 2022 yalikuwa ni ukuaji wa Asilimia 4.7% lakini Hadi Desemba mwaka 2022 Ukuaji ulikuwa Asilimia 5% na hivyo Kupita matarajio yaliyowekwa kabla..
Rais Samia na Mwigulu wanazidi kufanya Wonders na kuwaziba midomo Wapinzani wao..
Haters Ruksa mapovu ya kujifariji.