BOT - Wamenoa meno sawa sawa

Kwaiyo ni mwendo wa kufukua makaburi watu watapona kweli🙆
Moja ya wajibu wa regulator ni kuhakikisha pesa iliyowekezwa ni pesa iliyopatikana kwa njia halali na kwamba wamiliki wa taasisi pamoja na viongozi wa taasisi hawajawahi kuhusika kwenye hayo makandokando😎
 
Watu wengi sana watapoteza kazi kwenye huu msako..maana kama mtu alipiga crdb akafukuzwa halafu akapata kazi nmb inamaana watanyooka nae
 
Mkuu mahakama zipi?maana umesahau muhimili uliojichimbia chini zaidi na maelekezo yake?hapo kama unahela ni kusepa tu usubilie mi5 ipite uludi mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…