March 5, 2020
Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano, akielezea Kanuni za kumlinda mteja wa huduma za fedha zilizoanzishwa tarehe 22/11/2019 zinazolenga kumsaidia mteja wa huduma za fedha nchini kupata haki zake.
Dawati hilo la BoT kwa mfano linasaidia masuala ya Benki kutoa mikopo yenye lugha ngumu, kupata hati ya dhamana mara baada ya kumaliza mkopo, Amenyimwa mkopo bila kuambiwa sababu za kunyimwa mkopo. Mabenki kutatua baadhi ya masuala ndani ya masaa 6
Source: Bank of Tanzania
Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano, akielezea Kanuni za kumlinda mteja wa huduma za fedha zilizoanzishwa tarehe 22/11/2019 zinazolenga kumsaidia mteja wa huduma za fedha nchini kupata haki zake.
Dawati hilo la BoT kwa mfano linasaidia masuala ya Benki kutoa mikopo yenye lugha ngumu, kupata hati ya dhamana mara baada ya kumaliza mkopo, Amenyimwa mkopo bila kuambiwa sababu za kunyimwa mkopo. Mabenki kutatua baadhi ya masuala ndani ya masaa 6
Source: Bank of Tanzania