Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Tumepata habari kuwa kuna boti toka tanga kwenda pemba imelipuka/imewaka moto leo alfajiri imeua watu 70
Tushikamane kuwaombea majeruhi na wafiwa
source?
kama imelipukia katikati ya bahari nani aliyeleta taarifa, then kuna uokoaji wowote? majeruhi watazikwa wapi?Kama ni kweli biti imelipuka (hitilafu au ugaidi) natoa mkono wa pole kwa waathirika na walionusurika wapate nafuu mapema huku waliopoteza wapendwa wapate faraja kwa Mola
Hiyo ni boti ya kibiashara au boti-mtumbwi au ni mashua za waswahili!!????
Anyway, pole kwa wafiwa.
Hiyo ni boti ya kibiashara au boti-mtumbwi au ni mashua za waswahili!!????
Anyway, pole kwa wafiwa.
Tumepata habari kuwa kuna boti toka tanga kwenda pemba imelipuka/imewaka moto leo alfajiri imeua watu 70