Natumaini hata wewe umeliona hili na sio Taasisi binafsi tu hata taasisi za kiserikali pia hili tatizo lipo..... [emoji119].Jana nimebahatika kufika visiwani kwa tamasha la idhaa za Kiswahili.
Azam ni wazuri kwa huduma hongera sana. Kitu moja sijapenda bendera ya taifa imechakaa sana . Nendeni GPSA zipo zinauzwa.
Bendera iheshimiwe hii inawakilisha mahali palipo na giza kama mwenge wetu tunu ya Taifa
Tatizo na hizi Bendera ni nyepesi sana hasa kama kuna upepo mwingi zinachakaa mbele
Bendera inachangiaje wewe kufika mapema na kupata huduma nzuri? Sie ma carebean sealers kwanza boat au meli inapokuwa na bendera imechakaa manaake imekula upepo na mawimbi mengi baharini na ndio ufalme wa bahari huoJana nimebahatika kufika visiwani kwa tamasha la idhaa za Kiswahili.
Azam ni wazuri kwa huduma hongera sana. Kitu moja sijapenda bendera ya taifa imechakaa sana . Nendeni GPSA zipo zinauzwa.
Bendera iheshimiwe hii inawakilisha mahali palipo na giza kama mwenge wetu tunu ya Taifa
Hamna kitu zanzibar first ferry ukipanda hata ukimwambia mtu nipo kwenye ndege anakubali sema bakhresa kashawaroga hamsikii la mnadi swala wala mswalie mtumeJana nimebahatika kufika visiwani kwa tamasha la idhaa za Kiswahili.
Azam ni wazuri kwa huduma hongera sana. Kitu moja sijapenda bendera ya taifa imechakaa sana . Nendeni GPSA zipo zinauzwa.
Bendera iheshimiwe hii inawakilisha mahali palipo na giza kama mwenge wetu tunu ya Taifa
Washamba hawaelewiBendera inachangiaje wewe kufika mapema na kupata huduma nzuri? Sie ma carebean sealers kwanza boat au meli inapokuwa na bendera imechakaa manaake imekula upepo na mawimbi mengi baharini na ndio ufalme wa bahari huo
Chumvi balaa, inakula hadi nondo, bora wawe wanabadilisha inapochakaa tu,Nadhan maji ya chumvi yanaharibu
Bora wadesign zile za nailoni
Pia baadhi ya watu wake wamechakaa, yaani choka mbaya,Taifa lenyewe tu limechakaa, ya nini kuwa na bendera inayong'a?