Boti za Azam ni nzuri kwa huduma, wabadilishe na bendera

Boti za Azam ni nzuri kwa huduma, wabadilishe na bendera

Bendera inachangiaje wewe kufika mapema na kupata huduma nzuri? Sie ma carebean sealers kwanza boat au meli inapokuwa na bendera imechakaa manaake imekula upepo na mawimbi mengi baharini na ndio ufalme wa bahari huo
bendera ni nchi , ikipauka inamaanisha nchi imepauka pia , kwan wanapata tsh ngap mpk washindwe kubadili kila miez kadhaa , KUTOJIELEWA TU
 
wengi wenu hamjui nin maana ya bendera , bendera ndo nchi yenyew ikishushwa nchi imetekwa tyr , NAILAUMU SERIKALI KWA KULIPUUZA SOMO LA URAIA MASHULENI
Ww limekusaidia nini 😂😂😂😂😂😂 na hapo imeshushwa au imechanika kwa upepo. Unatarajia kila siku waeke bendera mpya? Unajua hata bei ya bendera au unaropoka tu ikishushwa nchi imetekwa😂😂😂😂😂 kwahiyo inaposhushwaga jioni nani anakua kateka nchi? Usidandie treni ya japani sio sgr ya bongo
 
Wazanzibari mjiandae kunipokea huko kwenu Zanzibar. Nina mpango wa kuja huko Disemba 2024 kwa kutumia huu usafiri wa boti. Na ole wenu msinipe ushirikiano, nikiwa kama mgeni wenu kutoka Tanganyika.
 
Back
Top Bottom