Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bendera ni nchi , ikipauka inamaanisha nchi imepauka pia , kwan wanapata tsh ngap mpk washindwe kubadili kila miez kadhaa , KUTOJIELEWA TUBendera inachangiaje wewe kufika mapema na kupata huduma nzuri? Sie ma carebean sealers kwanza boat au meli inapokuwa na bendera imechakaa manaake imekula upepo na mawimbi mengi baharini na ndio ufalme wa bahari huo
ikiwa na mwonekano mzur sio huoSi nilisikia mpaka iishe kabisa? Sema sisi ndiyo tunashobokea sana bendera. Wenzetu wanatundika majumbani mwao na popote
wengi wenu hamjui nin maana ya bendera , bendera ndo nchi yenyew ikishushwa nchi imetekwa tyr , NAILAUMU SERIKALI KWA KULIPUUZA SOMO LA URAIA MASHULENIWashamba hawaelewi
Kununua bendera kizungumkuti🤣Kuna baadhi ya taasisi za Serikali zina bendera za namna hiyo, mpaka huwa nabaki nashangaa.
Ww limekusaidia nini 😂😂😂😂😂😂 na hapo imeshushwa au imechanika kwa upepo. Unatarajia kila siku waeke bendera mpya? Unajua hata bei ya bendera au unaropoka tu ikishushwa nchi imetekwa😂😂😂😂😂 kwahiyo inaposhushwaga jioni nani anakua kateka nchi? Usidandie treni ya japani sio sgr ya bongowengi wenu hamjui nin maana ya bendera , bendera ndo nchi yenyew ikishushwa nchi imetekwa tyr , NAILAUMU SERIKALI KWA KULIPUUZA SOMO LA URAIA MASHULENI