King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umoufia Kwenu wana JF,
Ofisa wa jeshi Mogomo Sepopa(35) kutoka Botswana ameua mkewe Bogolo Sepopa Jaone(34) na mchepuko wake Same Moapare kwa pamoja na kisha kuwashikilia mateka watu wawili.
Mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe polisi na jana amesomewa mashtaka mawili ya mauaji yanayomkabili.
He allegedly shot and killed the two women on Sunday, July 16, 2023, kept their bodies overnight in their home at the Village Garrison in Gaborone, and held two other persons hostage.
P.S Matatizo ya afya ya akili ni mengi sana ,mkewe siku 4 zilizopita alipost picha akiwa na mmewe wakifurahia jambo.
Ofisa wa jeshi Mogomo Sepopa(35) kutoka Botswana ameua mkewe Bogolo Sepopa Jaone(34) na mchepuko wake Same Moapare kwa pamoja na kisha kuwashikilia mateka watu wawili.
Mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe polisi na jana amesomewa mashtaka mawili ya mauaji yanayomkabili.
He allegedly shot and killed the two women on Sunday, July 16, 2023, kept their bodies overnight in their home at the Village Garrison in Gaborone, and held two other persons hostage.
P.S Matatizo ya afya ya akili ni mengi sana ,mkewe siku 4 zilizopita alipost picha akiwa na mmewe wakifurahia jambo.