Botswana: Luteni wa Jeshi aua Mkewe na Mchepuko wake

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umoufia Kwenu wana JF,

Ofisa wa jeshi Mogomo Sepopa(35) kutoka Botswana ameua mkewe Bogolo Sepopa Jaone(34) na mchepuko wake Same Moapare kwa pamoja na kisha kuwashikilia mateka watu wawili.

Mtuhumiwa alijisalimisha mwenyewe polisi na jana amesomewa mashtaka mawili ya mauaji yanayomkabili.

He allegedly shot and killed the two women on Sunday, July 16, 2023, kept their bodies overnight in their home at the Village Garrison in Gaborone, and held two other persons hostage.








P.S Matatizo ya afya ya akili ni mengi sana ,mkewe siku 4 zilizopita alipost picha akiwa na mmewe wakifurahia jambo.

 
Duh hatari
 
Mwanamke kavuna alichokipanda.
 
Southern Africa yote (Botswana, SA, Swaziland, namibia na lesotho) wanawake wanapenda kukazwa na mbo.o kubwa. Sasa Kwa kimo hicho jamaa lazima alikua kibamia akashindwa KUMKAZA vizuri hivyo huenda maneno ya shombo yalikua mengi dhidi ya Kamanda manyota-kibamia.
 
Southern Africa yote (Botswana, SA, Swaziland, namibia na lesotho) wanawake wanapenda kukazwa na mbo.o kubwa. Sasa Kwa kimo hicho jamaa lazima alikua kibamia akashindwa kumlaza vizuri

Wamedumu kwenye uhusiano kwa muda mrefu sana mkuu zaidi ya miaka 10 na tangu wafunge ndoa ni miezi miwili imepita ,kungekuwa na issue hizo wangeshatemana kitambo ,why ije tu ndani ya hii miezi miwili?
 
The matter caught public attention after it emerged that a soldier allegedly shot and killed two women on Sunday, July 16, 2023, kept their bodies overnight in their home at the Village Garrison in Gaborone, and allegedly kept two others hostage.
 
Hawa wanajeshi mbona hawana Nuru? Hawajakaa kiaskari kabisa.
 
He shot and killed the two women

Alikua lesbian?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…