Botswana yapanga mipango ya kuanza kutumia lugha ya Kiswahili Shuleni

Botswana to introduce Kiswahili in schools

The Citizen

Kuna Mmoja wapo najua kwa jinsi anavyopenda 'Kukurupuka' huku akiwa amezungukwa na 'Waongo' wengi watamwambia tu 'ajimwambafai' nayo.
Umeishiwa hoja.

Unaokoteza sasa
 
Botswana to introduce Kiswahili in schools

The Citizen

Kuna Mmoja wapo najua kwa jinsi anavyopenda 'Kukurupuka' huku akiwa amezungukwa na 'Waongo' wengi watamwambia tu 'ajimwambafai' nayo.
Hata watumie Lugha ya kisukuma, kumpatia kura ni ndoto. Hakujua aliajiriwa na wananchi alijisahau.
 
Botswana to introduce Kiswahili in schools

The Citizen

Kuna Mmoja wapo najua kwa jinsi anavyopenda 'Kukurupuka' huku akiwa amezungukwa na 'Waongo' wengi watamwambia tu 'ajimwambafai' nayo.
Acha zako, na kumbuka kuna maisha baada ya oktoba. Hivyo chunga hayo maneno yako
 
Unaishi botswana
 
Ni jambo la kumpendeza Mungu CCM wakapumzishwa wakapisha akili mbadala.Chama miaka 50 bado unaahidi watu maji.Inatosha.
 
Mgombea wetu yupo mapumzikoni maana bado haelewi ni strategy gani nzuri ya kumkabili Lissu the Great

Ngoja tuone atatoka na style gani baada ya kichapo cha bukoba na geita

Hivi lisu hakumteua mambe kimange kuwa mgombea mwenza wake??
 
Tunaishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuandaa nafasi za ajira huko Botswana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…