"Bottom Up" Yamtokea puani William Rutto

KAMUKUNJI patakuwa mitaa kishua hapo!
 
Bottom up.... Hakumaanisha mipododo juu..... Hawa wakenya hawashindwi kuendeleza uwakala wao wa mambo ya ajabu..... Acha nkazimue konyagi😁😁

Haya wanyonge wekeni bottom up
 
Odinga hakushindwa kisa magufuli. Siasa za watu hauziwezi. Ni sawa na kusema umepigwa na laana ya magufuli kwa kupoteza biashara yako malawi
Masahihisho - Sijapoteza biashara yangu Malawi , nimepata hasara tu
 
Uhuru alisema Ruto ameshinda uchaguzi ila Rais wake ni Raila. Hii sentesi inafikirisha sana
 
Uhuru alisema Ruto ameshinda uchaguzi ila Rais wake ni Raila. Hii sentesi inafikirisha sana
Kwasasa ni raia mwema hivyo amedanganya akiwa serikalini Sasa anaendelea kuhadaa azimio akiwa uraiani
 
Wataweza kweli? Lakini wale hawaogopi kufa, usipo ogopa kufa unaweza kila kitu. Ukisha ogopa kufa kama watanzania tulivyo, basi.. huwezi lolote kwa siasa za afrika.
 
Kusema kuwa una falsafa za bottom up na kuondoa ruzuku haimaanishi kwamba ni automatic contradiction.

Hususan ikiwa ruzuku hazikuwa na tija na hela hizo zinaweza kutumika kwa tija zaidi katika uchumi na hatimaye kunufaisha uchumi mzima.

Simtetei Ruto wala kutoa maoni yoyote kwenye siasa za Kenya zaidi ya kusema kwamba kusema Rais kasahau bottom up, kwa sababu kaondoa ruzuku, ni a very simplistic way of thinking.
 
Bottom up ni nini na utekelezaji wake ni upi na utaanza lini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…