stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Njaa Kali tumbo Moto umeahidi utekelezi unatarajia nini?Yaani serikali ya Rutto ina miezi saba madarakani watu washaanza zogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa Kali tumbo Moto umeahidi utekelezi unatarajia nini?Yaani serikali ya Rutto ina miezi saba madarakani watu washaanza zogo.
Hakika !Anavuna alichopanda.
Muda mungine uwe unatumia akili basi sio kuropokwa bila ushahidi.Wakenya wakamshangaa sana Odinga kushabikia Utekaji, mauaji na Uporaji wa hela za Wafanyabiashara , kibaya zaidi alionekana kama anafurahia kuchomwa moto kwa vifaranga vya Wakenya, vilivyoteketezwa na serikali ya kikatili ya Tanzania ya awamu ya 5
Ni kawaida westerns kuwafunga Macho wapuuzi wanaowaamini chochote watakachosema na kuupotezea ukweli unaoonekana hata kwa vipofu.Wakenya wakamshangaa sana Odinga kushabikia Utekaji, mauaji na Uporaji wa hela za Wafanyabiashara , kibaya zaidi alionekana kama anafurahia kuchomwa moto kwa vifaranga vya Wakenya, vilivyoteketezwa na serikali ya kikatili ya Tanzania ya awamu ya 5
Pole kwa maumivuMuda mungine uwe unatumia akili basi sio kuropokwa bila ushahidi.
Ni kawaida westerns kuwafunga Macho wapuuzi wanaowaamini chochote watakachosema na kuupotezea ukweli unaoonekana hata kwa vipofu.
Yule mwamba aliwatoa air workers, akadhibiti matumizi ya serikali, akajenga hospitali mpya n kuziboresha za zamani kila mkoa(kama yupo mtanzania ambaye hajaona mkoani mwake mazingira ya huduma za kihospitali yakiboreshwa ninaomba anipinge), alirudisha heshima katika utoaji wa huduma kwa watumishi wa umma, aliboresha mazingira ya shule ngazi zoteee(kuanzia pri, sec n University alihakikisha wanafunzi wotee waliokidhi vigezo wanapata boom/helb kwani aliongeza budget yao, kama yupo anayepinga anikosoe-kenya hawana tena mikopo kwa wanafunzi wa vyuo) alitujengea sgr, mwendo kasi( Kenya wamechora a red line Thika highway kama barabara ya brt, jiwe alijenga barabara special for brt), alihasisi ujenzi wa julius nyerere dam ambalo upon completion, litazalisha mara3 ya mahitaji ya nchi nzima, air tz, electric sgr, alileta mining reforms kwa faida ya nchi nzimaaa, dah, haya ni machsche tu, sio yoote. Mungu ampunguzie tu adhabu ya umauti. Mungu marehemu mwamba. Hakuna binadamu aliyekamilika. Mwamba alijitoa mhanga kuingilia operations za the biggest gold mining company in the world, kusababisha iwe dissolved then tunagemea angeachwa salama. Aliwapinga westerns wote kwa uvumi wa corona na akagoma kuifunga nchi. Oneni kinachowakumba wakenya kwa sasa baada ya kuifunga nchi, pesa yao inapanda n kushuka kama mgonjwa wa kisukari kusababisha wafanya biashara mpakani kuomba kulipwa kwa shilingi ta tz iliyo constant. Kenya mnalia mfumuko wa bei, mlivyoweka lock down hamkujua hili lingetokea???
Kwa ufupi asilimia 90 ya wanaomchukia jiwe walikuwa ni wezi wa mali za watz, yakawakuta. Wakenya n wengineo wanaomuongelea vibaya, Hawa ni wa pumbavu waliochagua kufuata vyombo vya habari vinavyomchafua kwa hisani ya mabepari, na kupuuzia u halisia wa vitu vya thamani n uzalendo alivyovifanya ndani ya uongozi wake.
Embu jifikirie, maisha yetu yote ya tz hatujawahi kuona a 4 lane highway. - kibaha, hatukuwa tumewahi kuona a fly over. Hivi vyote vililetwa n magu ndani ya awamu ya1, mnafikiria marasi wengine hawakuwa wanatoza ushuru ama nini??? Tuseme tu ukweli mwamba alikuwa jiwe n ataendelea kuishi kwenye mioyo yetu. Kwa udhaifu wake, nimemsamehe, mema ni mengi n yenye jita zaidi.
Wakati ujao mkimtaja mwamba, naomba mumpe heshima. Ni upumbavu kuongelea assassinations mbili tatu za mtu mmoja ilhali kupuuzia raisi wa Kenya aliyeuwa jamii nzima, mfano, magufuli atoe amri wanaume wote wanaishi singida wauliwe, na litoke wote wakauliwa, kuthibitisha angalieni the "gala massacre chini ya mkoloni weusi moi." Shame on you. Muacheni jembe alale kwa amani, alituheshimisha kama nchi.
Uliitwa huku, bofya chini hapo, wewe umerukia kwa Ruto:Wakati wa vuguvugu la uchaguzi wa Kenya, hadi wakati wa kampeni za uchaguzi huo, Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na umasikini, ulioitwa Bottom Up, akimaanisha kuwakwamua kiuchumi Wakenya makapuku (kwa Tanzania wanaitwa wanyonge) na kuwapandisha kwenye hali nzuri.
Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga, ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono udikteta wa serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli.
Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata urais, akasahau haraka sana mkakati wake kwenye Bottom Up mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao, akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta, akidai anabana matumizi, utadhani hela za Kenya ni mali ya baba yake, bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya.
Sasa Wakenya wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa.
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
Jikite kwenye madaUliitwa huku, bofya chini hapo, wewe umerukia kwa Ruto:
Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji. Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa...www.jamiiforums.com
Unamuamini MWIZI?Wakati wa vuguvugu la uchaguzi wa Kenya, hadi wakati wa kampeni za uchaguzi huo, Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na umasikini, ulioitwa Bottom Up, akimaanisha kuwakwamua kiuchumi Wakenya makapuku (kwa Tanzania wanaitwa wanyonge) na kuwapandisha kwenye hali nzuri.
Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga, ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono udikteta wa serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli.
Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata urais, akasahau haraka sana mkakati wake kwenye Bottom Up mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao, akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta, akidai anabana matumizi, utadhani hela za Kenya ni mali ya baba yake, bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya.
Sasa Wakenya wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa.
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
rudia vizuri hilo swaliUnamuamini MWIZI?
Mwizi kaiba Kura yupo Mjengoni kurudisha pesa yake na faidarudia vizuri hilo swali
Unataka picha za majeruhi au za maiti?Bila picha ya hao wakenya KAZI bure
Nilimfuata PM nikamuonya maana ana ID hapa JF ila alinicheka sanaRuto ameonywa sana ila ameendelea kukaza shingo. Muda wa kuvunjika umekaribia. Alikuwa na sera nzuri sana, amewasaliti wakenya.