Bounou wa Sevilla, golikipa anayeijua vizuri saikolojia ya kudaka penati

Bounou wa Sevilla, golikipa anayeijua vizuri saikolojia ya kudaka penati

Naungana na wewe. Mleta mada kaanza vizuri Sana kashindwa kumalizia. Mfano penati ya Kwanza iliyozuiwa na Bono ingetosha kueleza ujanja wake lakini hajasema lolote. Kipa kamhadaa mpigaji kwamba anakwenda kushoto kwake moja Kwa moja kumbe hakawenda mzima akawa na uwezo wa kurudi Kati ambapo mpigaji aliamini tayari kipa amehama. Kama penati husika Ingepigwa kulia Kwa kipa hiyo anayosema kipa aingie kwenye akili ya mpigaji isingefanya kazi.
Hiyo ya kutisha unataka kuruka wapi ni sehemu tu ya mbinu ingawa makipa wengi wanafanya. Embu nikitulia nitajitahidi kuwatafunia na kuwamezea kabisa ingawa siyo njia nzuri katika kuelekeza vitu.
 
Mtoe Mesi kati ya wapiga penalty bora, ungesema Jorginho, Bruno Fernandez au Balotel, mpiga penalty mzuri anapiga juu hakuna kipa wa kudaka ingawa hao niliowataja hawapigi juu.
 
Huwa sielewi mimi ndio mjinga au sielewi akili za watu wa mpira. Jamaa kadai ni fani yake ila anavyoeleza utadhani kasimuliwa leoleo yani kama kaokoteleza maelezo kidogo.
Huwezi ona mtu anajiita fundi mzoefu wa magari simply anakwambia "fanya service". Atakwambia mwaga oil, tumia oil husika, usifanye hiki, kama kuna tatizo fulani fanya hivi.

Kucheka kwa Bono kulimfanyaje adake penati?

"Kwenye upigaji au kudaka penati, trick ipo kwenye kupenya kwenye kichwa cha mchezaji wa upande wa pili na kucheza na akili yake ili kumuhadaa akili yake..."
ndio nini hapa? Mpigaji au kipa anapenyaje kwenye kichwa cha mwenzake, tricks zipi anatumia, sign zipi anaona.

Wewe ni kocha ila umeandika kama nabii, hana haja ya kujua sana atawasingizia waumini wawe na imani basi hata kama hamna logic
Kuhusu kucheka, hiyo picha kama sikosei ni penati ya 3 ya mechi ya Morocco dhidi ya Spain. Baada ya Bono kutumia mbinu mara mbili na zote akaokoa, mara ya tatu akatumia tena tuvitu hivyo hivyo. Alipoona mpigaji kaingia kwenye mfumo wake anapiga kule kule alipomhadaa kuwa hataruka, ndiyo hiyo picha anaokoa huku anatabasamu.
 
Angalieni mechi ya Kombe la Dunia kati ya Morocco na Spain, angalia kwa makini Bono tuvitu alikuwa anafanya kabla ya kila penati na jiulize vile vitu alivyokuwa anafanya vilikuwa na athari gani kwa mpigaji.
Taja hivyo vitu
 
Angalieni mechi ya Kombe la Dunia kati ya Morocco na Spain, angalia kwa makini Bono tuvitu alikuwa anafanya kabla ya kila penati na jiulize vile vitu alivyokuwa anafanya vilikuwa na athari gani kwa mpigaji.
Vitu ghn hvyo ndo utuelezee sasa tuelewe mkuu.
 
Jana nimeona tuvitu fulani kwenye penati ambavyo niliviona kwa huyu Mmorocco. Nilisema udakaji wa penati ni sayansi na saikolojia, ukivimasta vitu viwili vitatu, penati utazidaka saaana.
 
Jana nimeona tuvitu fulani kwenye penati ambavyo niliviona kwa huyu Mmorocco. Nilisema udakaji wa penati ni sayansi na saikolojia, ukivimasta vitu viwili vitatu, penati utazidaka saaana.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom