Box Office battle: Avatar Vs Avengers

Box Office battle: Avatar Vs Avengers

Mi ninachosubiria kingine kuhusu.last episode ni end credit scene

Nijue what next si unajua ile feeling flani ya excitement yaani goosebumps
 
Ep6 end credit scene inaonyesha Sharon Carter kawa adui na anaenda kukipenyeza kikundi chake as power broker ndani ya CIA

Habari njema ni kwamba Captain America 4 ishaanza kutengenezwa. Sam Wilson ndio kawa Captain America.

Hafu Thunderbolt wanakuja soon, unawajua thunderbolt??
Daah sijapenda Sharon Carter awe adui kutokana na historia ya familia yake kuwa nzuri mfano aunt yake Peggy Carter alivyosaidiana na watu kama Howard Stark kupambana na Hydra kwenye ile season ya marvel agent Carter piaisaidiana na Steve Roger the former captain America nakadhalika hivyo kiufup sijaipenda ile end credit scene na uhusika alovaa kwenye hii season na pia ndo end credit scene ya Kwanza ya marvel kuwa disappointed nayo




Sam.ameuvalia uhusika vizuri.nadhani next captain America itakuwa vizuri na marvel bana uzuri wao wakiigiza movies tayari hapo hapo wana develop story Ili tupate sequel yake au franchise

Mfano spider Man mpya hii itakayotoka ambayo yupo Dr stranger inaitwa no way home ambayo wamemaliza kiasi kikubwa kui shoot tayari washa develop.namba nne yake na wangezitoa mapema sema ule mgogoro wa hati miliki ya Spiderman kipindi kile ulivuruga ratiba
 
Hafu Thunderbolt wanakuja soon, unawajua thunderbolt??[/QUOTE]



Hawa jamaa niliwasoma kwenye comics


Story yao iko hivi

Baada ya vita na yule mutant adui Onslaught kuondoka ulimwenguni bila mashujaa wengi ambao waliifanya iwe salama, nasemea avengers Baron Zemo alipanga mpango ili kutawala ulimwengu.

Zemo alikusanya kikundi chake kina Beetle, Fixer, Goliath, Moonstone, na Screaming Mimi, wote washiriki wa zamani wa Masters of Evil, yaani wote walikuwa villan pamoja kujificha kama timu mpya ya kishujaa ili kuchukua faida ya mashujaa waliopotea na kupata imani kwa mamlaka na umma kwa ujumla.

Yaani walifanya kama vile Ile season ya the boys wanajifanya super heroes kina homelander sjui outlander sikumbuki vzr jina yule jamaa maana niliichek kitambo season 1 episode chache tu .basi bhana kumbe wana motive zao ni maadui

Hivyo basi walijiunga na jamaa mdogo tu ambae alikuwa anapenda awe celebrity awe star anaitwa Jolt, ila yeye hakujua utambulisho wa kweli wa wenzake na ajenda iliyofichwa.

Zemo alikuwa hampendi Jolt na anamvumilia kwenye hicho kikundi chake lakini wenzake walimpenda haraka na kuanza kubadilishwa na maoni yake

Ila baadae sasa

Zemo ghafla aliacha udanganyifu wao akazindua mpango wa kuchukua ulimwengu kwa kuwatumikisha kila mtu pamoja na Avengers wanaorudi maana walitawanyika pamoja na wale heroes fantastic four

HApa sasa utaona kama hii comics wameifanya iwe movie.basi jua tutapata kuwaona avengers kwa mara nyingine tena si ajabu next avengers movie avengers reassemble

Halafu sasa [emoji28] cha ajabu marvel walivyo introduce fantastic four nikasema ewaaa hawa jamaa washa confirm theory yangu

Maana huwezi kuwa introduce thunderbolt bila fantastic four na avengers kuwepo wanatengeneza story ya aina yake kama vile infinity saga maana tutakuja kuwa na cameo appearance huko mbeleni za kufa mtu


Lakini kwenye comics tunaona na wale washiriki wa zemo waliamua wanapendelea maisha ya ushujaa kuliko mwovu maana walifungua mioyo yao vile kusaidia watu na wakaungana na Iron Man kumaliza mipango ya Zemo.

Mwishowe, Zemo alikimbia na washirika wake waliofata msimamo wake ili kuanza maisha mapya kwa kukimbia kama washambuliaji haramu, wakijaribu kudhibitisha ushujaa wao kwa umma wakati wakikwepa kukamatwa.





So conclusion hapa thunderbolt Ni villain ambao.baadae wanakuwa hero.

Tukiangalia kwenye movies.kwenye marvel cinematic universe na maoni mengi ya watu plus spoilers

Tunaona yule zemo wa Falcon na winter soldier anaweza kuwepo ndo maana kipande chake akiwa jela kumeonyeshwa last episode

HApa kuna yule incredible hulk anaweza wepo yaani haijajulikana.

Na character wengine wapya
 
Back
Top Bottom